Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Mkuu zinanunuliwa ndege sita ili nchi hii iweze kuwa reachable kutoka kona yoyote ya dunia. Hao unaowapelekea ndege ili waje, wanakuja kutalii na kuwekeza, habari nyeti kama za zika zinahitaji umakini mkubwa kabla hazijasemwa hadharani.Dr alikurupuka sana tena sana kutangaza kuwepo kwa Ugonjwa wakati alitakiwa atangaze kuwa anafanya utafiti na ni test ya vipimo vya Zika...kuhitimisha nchi ina Zika sio kitu kidogo na kingeweza kutugharimu sana kiuchumu kama hatua zisingechukuliwa.....