Asante sana mkuu.Chumvi ina madini ya Sodium ( Na+) ambayo yanasababisha shinikizo la damu (Hypertension), jamii zinazokula chumvi nyingi zina tatizo kubwa la shinikizo la damu kuliko jamii inayokula chumvi kidogo, unashauriwa kuweka chumvi kidogo jikoni na mezani chakula kisiongezwe chumvi.