Kahama- shy
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,951
- 2,694
Habari wakuu Nina jambo hapa najua tunafamishana tu naomba kujua maana ya Vihela na Hela, mfano unaweza kuwa mtaani mnapiga story mara unasikia yule mtu alipataga Vihela ya kustaafu akajenga kanyumba🤔
Sasa mtu unajiuliza eeh ni sh ngapi hizo unaambiwa ni million 70 mpaka 80 hizo ndo Vihela, au wengine wanasema ni vijisenti, naomba kujua Vihela ni mwisho ifike, Na hela ni kuanzia sh ngapi ndo iitwe Hela, maana kwangu hiyo hela ni kubwa sana najenga Nyumba na kuweka mashine ya kukoboa na kusaga 🙂
Natanguliza kwenu
Sasa mtu unajiuliza eeh ni sh ngapi hizo unaambiwa ni million 70 mpaka 80 hizo ndo Vihela, au wengine wanasema ni vijisenti, naomba kujua Vihela ni mwisho ifike, Na hela ni kuanzia sh ngapi ndo iitwe Hela, maana kwangu hiyo hela ni kubwa sana najenga Nyumba na kuweka mashine ya kukoboa na kusaga 🙂
Natanguliza kwenu