moyo wangu
Member
- Nov 18, 2011
- 59
- 13
Habarini,atlast nimeitwa kwenye interview kwenye kampun fulani ambayo niliona tangazo hapahapa jf,,lakn kwenye maelezo yako walisema mtu awe na xpirience ya negotion skills na use of tally,,cjaelewa wamemaanisha tally ipi?.....Kama hujui wewe pita tu mana heshima kitu cha bure silazima uandike kashfa zako..