KUNA MICHEPUKO INA WATOTO NA WANALEA WENYEWE NA BADO WAKO ACTIVE KTK MAWASILIANO
Kweli kabisa huyo amwangalie mkewe tena na tena now a days mambo ya Facebook Whatsup Instagram Badoo Tweeter yote hayo still kaweka simu mbali..
Labda kamnunulia mkewe Nokia ya Torch(Mulika mwizi) alf kaweka vibration
Mnunulie Iphone 6 au Samsung S6 au smartphone yeyote nzuri kwanzia 1 Million hapo atapokea simu yako chap kama vile alikuwa anakusubiria upige..Kama ni Nokia ya torch anaona aibu kupokea mbele ya mashosti zake mkuu