Nini maana ya simu ya mkononi kwa mwanamke

Nini maana ya simu ya mkononi kwa mwanamke

Naona imekutouch pole sana vumilia tu ndio ukweli wenyewe na ukweli unachoma choma

Sijaona cha kunitouch,
Pole nikupe wewe kwa kupoteza energy yako kutype mambo yasiyo na mashiko,
Ili mradi tu na ww uonekane umewadiss wanawake.
 
Kwa hawa wachumba mnao tafuta kwa vigezo cjui awe na elimu form four mara awe ana ajira,cjui awe kabila flani??ndio matokeo yake hayo.
 
Sasa. Unalalamika nini?tukiwa bize na simu maneno tukiwa nazo mbali kwa bahati mbaya tena ni issue? Mkuu hapo ujue una la bonge mwanamke, yupo bize na familia na sio kushinda kwenye mitandao.
 
Watu wengine bhana,
Mambo ya familia yake anakuja kuanzisha uzi jf,

Hlf kaelezea tatizo, hapo hapo kajijibu, hapo hapo kahitimisha,

What a nonsense.
Au ww ndio wife wake?!
 
Au ww ndio wife wake?!
Huyu mpk nimeuona anakitu kinapungua akilini halafu alivyokuwa hana akili anaona kama vile nawadisa wanawake ndio maana nimeana hata nikijaribu kumuelewesha ila naona box
 
Baki siku moja nyumbani Lea mtoto na ufanye kazi anazofanya mkeo ndo utaelewa
 
Watu wengine bhana,
Mambo ya familia yake anakuja kuanzisha uzi jf,

Hlf kaelezea tatizo, hapo hapo kajijibu, hapo hapo kahitimisha,

What a nonsense.
kuna majipu yA kutumbuliwa humu
 
Binadamu yoyote ambaye anamiliki Simu halafu hakai karibu nayo basi amekosa uelewa wa nini maana ya kuwa na simu..Mkuu nakusupport 100%, tabia ya kukaa mbali na simu Ni ushamba
 
mtafutie vile vidude vya kuweka simu na kuning'iniza shingoni atembee nayo kila sehemu
 
Watu wengine bhana,
Mambo ya familia yake anakuja kuanzisha uzi jf,

Hlf kaelezea tatizo, hapo hapo kajijibu, hapo hapo kahitimisha,

What a nonsense.
Hawezekana hujaolewa na au bado sana kiasi huelewi kilicho ongelewa! Kawaida mwanamke akiwa ktk ngazi ya urafiki , tabia nyingi sana ni za ku-pretend. Akiingia ndani ndio uhalisia wake unaonekana. kabla ya kuoa ile kipiga simu tu, kishapokea.akiwekwa ndani simu zako sio issue kivile, ila piga kwa mchepuko!!!
 
Hawezekana hujaolewa na au bado sana kiasi huelewi kilicho ongelewa! Kawaida mwanamke akiwa ktk ngazi ya urafiki , tabia nyingi sana ni za ku-pretend. Akiingia ndani ndio uhalisia wake unaonekana. kabla ya kuoa ile kipiga simu tu, kishapokea.akiwekwa ndani simu zako sio issue kivile, ila piga kwa mchepuko!!!

Unayafahamu majukumu ya nyumba wewe?
Unajua kazi ya kulea mtoto wewe?
Acheni kukariri maneno ya vijiweni,
Siku moja kaa nyumbani, mwambie mkeo asifanye lolote ikiwezekana aondoke, ufanye ww kila kitu kuanzia asubuhi mpk usiku,
Halafu rudi tena uje kusapoti ujinga.
 
Ikiwa hvyo jua yuko bize n wengine we anakupotezea.
 
Unayafahamu majukumu ya nyumba wewe?
Unajua kazi ya kulea mtoto wewe?
Acheni kukariri maneno ya vijiweni,
Siku moja kaa nyumbani, mwambie mkeo asifanye lolote ikiwezekana aondoke, ufanye ww kila kitu kuanzia asubuhi mpk usiku,
Halafu rudi tena uje kusapoti ujinga.
KUNA MICHEPUKO INA WATOTO NA WANALEA WENYEWE NA BADO WAKO ACTIVE KTK MAWASILIANO
 
Inaweza kua ni mkeo tuu au wengine wengine lakini cm ndio mpango mzima,muulize vizuri mkeo au fanya utafiti mtu anaweza kusahau kuvaa nguo ya ndani lakini hawezi kusahau kua karibu na cm yake....
Huenda mkeo anyway nismuongele wewe unajua zaidi.........
Kweli kabisa huyo amwangalie mkewe tena na tena now a days mambo ya Facebook Whatsup Instagram Badoo Tweeter yote hayo still kaweka simu mbali..
Labda kamnunulia mkewe Nokia ya Torch(Mulika mwizi) alf kaweka vibration
 
Back
Top Bottom