Nini maana ya simu ya mkononi kwa mwanamke

Nini maana ya simu ya mkononi kwa mwanamke

Kayenga jr

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2016
Posts
443
Reaction score
349
Leo ningependa kuongelea suala la mwanamke mke wa mtu kuwa na tatizo la aidha kuchelewa kupokea simu au kutokupokea simu,
Nimejaribu kufatilia kabla hajawa mke ukimpigia simu faster anapokea lakini kitendo cha kumfanya mke ni tatizo kwa mwanamke unaweza kupiga simu toka asubuhi mpk saa tano haipatikani au haipokelewi kabisa na uaiombee akawa na mtoto ndio kabisa ,
Sometimes unaweza kumfikiria vibaya labda ukitoka kuna mtu anakuja kumgegeda ukimuuliza atakwambia nisahau kuiwasha au simu ilikuwa mbali na mie yeye yupo kibarazani simu IPO chumbani na hana habari ,nini maana ya simu ya mkononi sasa, akiwa nafanya kazi kidogo hali hii huwa inapungua kidogo lakini sio kwisha na hii ni karibia kwa wanawake wote, madhara ya hii kitu ni mume anaweza kuharibu kazi kwa wivu au kumuweka mwenzako katika pressure maana kama umemuacha nyumbani halafu baadae umpigie simu hapokei unaweza kwanza kuhisi mambo mengi labda kapata ajali au vipi ,
Wanawake mjitambue simu ni kwa ajiri ya kurahisisha mawasiliano mtuonee huruma pia tuna vitu vingi vya kutuumiza kichwa .
 
Inaweza kua ni mkeo tuu au wengine wengine lakini cm ndio mpango mzima,muulize vizuri mkeo au fanya utafiti mtu anaweza kusahau kuvaa nguo ya ndani lakini hawezi kusahau kua karibu na cm yake....
Huenda mkeo anyway nismuongele wewe unajua zaidi.........
 
Leo ningependa kuongelea suala la mwanamke mke wa mtu kuwa na tatizo la aidha kuchelewa kupokea simu au kutokupokea simu,
Nimejaribu kufatilia kabla hajawa mke ukimpigia simu faster anapokea lakini kitendo cha kumfanya mke ni tatizo kwa mwanamke unaweza kupiga simu toka asubuhi mpk saa tano haipatikani au haipokelewi kabisa na uaiombee akawa na mtoto ndio kabisa ,
Sometimes unaweza kumfikiria vibaya labda ukitoka kuna mtu anakuja kumgegeda ukimuuliza atakwambia nisahau kuiwasha au simu ilikuwa mbali na mie yeye yupo kibarazani simu IPO chumbani na hana habari ,nini maana ya simu ya mkononi sasa, akiwa nafanya kazi kidogo hali hii huwa inapungua kidogo lakini sio kwisha na hii ni karibia kwa wanawake wote, madhara ya hii kitu ni mume anaweza kuharibu kazi kwa wivu au kumuweka mwenzako katika pressure maana kama umemuacha nyumbani halafu baadae umpigie simu hapokei unaweza kwanza kuhisi mambo mengi labda kapata ajali au vipi ,
Wanawake mjitambue simu ni kwa ajiri ya kurahisisha mawasiliano mtuonee huruma pia tuna vitu vingi vya kutuumiza kichwa .
Wote wivu tu huna chochote
 
Inaweza kua ni mkeo tuu au wengine wengine lakini cm ndio mpango mzima,muulize vizuri mkeo au fanya utafiti mtu anaweza kusahau kuvaa nguo ya ndani lakini hawezi kusahau kua karibu na cm yake....
Huenda mkeo anyway nismuongele wewe unajua zaidi.........
Nafikiri haujaelewa soma vizuri
 
Watu wengine bhana,
Mambo ya familia yake anakuja kuanzisha uzi jf,

Hlf kaelezea tatizo, hapo hapo kajijibu, hapo hapo kahitimisha,

What a nonsense.
 
Nafikiri haujaelewa soma vizuri
Tabia ya kutokua makini na simu kwa wanawake walio ndani ya ndoa ni kawaida sana.. lakini malaya kama iliopo humu mda wote lazima awe na simu kupata mabwana wakumgegeda apate hela ya kodi.
 
Wewe ndio umekurupuka,
Au ndio ulikua unaenda kila nyumba kukusanya takwimu?

Wanaume wa Dar bhana
Elimu elimu elimu elimu tutamkumbuka sana lowasa kwa kaulimbiu yake hii kumbe unataka nikufundishe mpk jinsi utafiti unavyofanyika!!!
 
Tabia ya kutokua makini na simu kwa wanawake walio ndani ya ndoa ni kawaida sana.. lakini malaya kama iliopo humu mda wote lazima awe na simu kupata mabwana wakumgegeda apate hela ya kodi.
Duh umeua kaka mie sipo huko
 
Elimu elimu elimu elimu tutamkumbuka sana lowasa kwa kaulimbiu yake hii kumbe unataka nikufundishe mpk jinsi utafiti unavyofanyika!!!

Elimu Elimu Elimu,
Ungeipata ya uhakika, wala usingeleta matapishi kama haya hapa.
 
Back
Top Bottom