Nini maana ya Siasa?

Naombeni mnipe maana ya siasa kwa sababu sielewi


Tulivyofundishwa na watawala wetu maana ya neno siasa ni "... mawazo, mipango na busara za kuendesha nchi". Kutokana na tafsiri hio basi ni dhahiri ya kwamba watawala wetu CCM hawana mawazo, hawana mipango na wala hawana busara za kuendesha nchi hii. Kwa maana nyengine basi ni kwamba CCM hawaijui siasa! Sina haja ya kufafanua sana maana kila kitu kinajitosheleza hapo ila ukitaka kufahamu zaidi basi iangalie Tanzania baada ya utawala wa mika 54 ya CCM jee unaweza kujivunia nini kama si UMASKINI! Mtanzania zinduka CCM siasa imewashinda!
 
Naombeni mnipe maana ya siasa kwa sababu sielewi
Siasa ina maana nyingi, hizi ni katika hizo nyingi
1. Siasa ni kutoa ahadi kwa wadanganyika ili wampe mtoa ahadi "kula".

2. Siasa ni kupindisha maneno, kumumunya maneno, kuweka ndani yake uongo unaovutia ili wanaokusikiliza wakuchague usimamie kodi wanayolipa na uipangie matumizi kodi hiyo kwa kadiri unahisi inafaa ikiwemo kujipangia mshahara na posho nono na kuwapangia wadanganyika mshahara ambao haukidhi matumizi ya wiki moja ya kununulia mihogo na maharage..

3. Siasa ni kuwakusanya wananchi wadanganyika na kuwasomea hutuba, maelezo, ilani, sera huku ukiwaahidi kuwa wakikuchagua utaacha kula mihogo na maharage ili uwaletee "maendeleo"..hapa maendeleo ni ukosefu wa lishe bora, mgao wa umeme,elimu duni, barabara za vumbi ,kuchangia ada za shule,elimu duni, ukosefu wa madawa ,kugawiana umasikini nk

4. Siasa ni kuwatisha wananchi waliokuchagua kuwa una nguvu ya dola na enyewe ina mkono mrefu kwa yeyote atakaepata uthubutu wa kudai haki,atakae hoji kwa nini "yapo maendeleo", ubadhirifu wa fedha za walalahoi.

5. Siasa ni uwezo wa mtu kuwaita mutu zingine "wapumbavu na malofa"

6. Siasa ni kusubiri kupiga kura ukijua kura yako haina umuhimu wowote kwa sababu wenye kutangaza matokeo huwa wameshajua matokeo mapema.

7. Siasa ni mchezo wa wajanja wachache wanaofanya usanii wa kutupiana maneno makali vikaoni, bungeni, majukwaani huku kwa usiri na kwa dhahiri wanamegeana fedha za walalahoi wadanganyika kupitia ruzuku, mishahara na posho nono na viinua mgongo ile mnene .

8. Siasa ni mikakati na mipango ya wachache kuwaamulia na kuwalazimisha wadanganyika waifuate kama sehemu yao ya maisha ya kila siku.

9. Itaendelea .......
 
Siasa ina maana nyingi sana ila mimi nitazungumzia maana moja maarufu duniani ya siasa ..." Siasa ni mchezo mchafu".
Ukitaka kujua ya kwamba siasa ni mchezo mchafu basi muangalie Mzee Joseph Sinde Warioba! Mzee Warioba ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, ni mwasisi wa TANU na CCM na ni mwenyekiti wa iliokuwa Tume Ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2014. Tume hii ya mabadiliko ya Katika ilikusanya maoni ya watanzania na wengi wetu tulitoa maoni ya mabadiliko ya mfumo wa muungano. Lakini hio ilikuwa ni kinyume na mawazo ya wanaCCM ambao wao hawataki mabadiliko ya mfumo wa muungano. Nakumbuka wakati ule wa vugu vugu la katiba mpya wanaCCM walimchafua, walimvunjia sana heshima na pia walimtukana Mzee huyu matusi yote unayoyajua wewe. Wengine (Kina Makonda) walidiriki hata kumpiga kwa sababu tu maoni aliyoyawasilisha yalikuwa ni kinyume na matarajio ya wanaCCM! Hali hii ilimpa shida na tabu kubwa mzee huyu kiasi cha kwamba aliamua kufanya makongamano na mikutano mingi tu waandishi wa habari ili kujisafisha kwa kupinga Uonevu wa CCM kwenye maoni ya wananchi. Hii ilimjenga na kumpatia umaarufu mwingi Mzee warioba kwa waTanzania kiasi cha kuamini ya kwamba huyu ndio tegemezi na Mkombozi wa watanzania kwa sasa. Lakini cha kushangaza kabisa na hapo ndio Uchafu wa siasa unapoonekana ni kwamba leo hii mzee Warioba anawapigia debe, kwenye majukwaa na vyombo vya habari, wale wale wanaCCM waliomchafua na kumvunjia heshima! Leo hii Mzee huyu kasahau kabisa habari ya katiba yetu. Sasa hapo hebu niambieni wanajamii ama kweli Siasa ni mchezo mchafu?
 
[h=2]pol·i·tics[/h] (pŏl′ĭ-tĭks)n.1. (used with a sing. verb)a. The art or science of government or governing, especially the governing of a political entity, such as a nation, and the administration and control of its internal and external affairs.
b. Political science.

2. (used with a sing. or pl. verb)a. The activities or affairs engaged in by a government, politician, or political party: "Our politics has been corrupted by money and suffused with meanness" (Peter Edelman). "Politics have appealed to me since I was at Oxford because they are exciting morning, noon, and night" (Jeffrey Archer).
b. The methods or tactics involved in managing a state or government: The politics of the former regime were rejected by the new government leadership. If the politics of the conservative government now borders on the repressive, what can be expected when the economy falters?

3. (used with a sing. or pl. verb) Political life: studied law with a view to going into politics; felt that politics was a worthwhile career.
4. (used with a sing. or pl. verb) Intrigue or maneuvering within a political unit or a group in order to gain control or power: Partisan politics is often an obstruction to good government. Office politics are often debilitating and counterproductive.
5. (used with a sing. or pl. verb) Political attitudes and positions: His politics on that issue is his own business. Your politics are clearly more liberal than mine.
6. (used with a sing. or pl. verb) The often internally conflicting interrelationships among people in a society.

Usage Note: Politics, although plural in form, takes a singular verb when used to refer to the art or science of governing or to political science: Politics has been a concern of philosophers since Plato. But in its other senses politics can take either a singular or plural verb. Many other nouns that end in -ics behave similarly, and the user is advised to consult specific entries for precise information.
 
pol·i·tics

(pŏl′ĭ-tĭks)n.1. (used with a sing. verb)a. The art or science of government or governing, especially the governing of a political entity, such as a nation, and the administration and control of its internal and external affairs.
b. Political science.

2. (used with a sing. or pl. verb)a. The activities or affairs engaged in by a government, politician, or political party: "Our politics has been corrupted by money and suffused with meanness" (Peter Edelman). "Politics have appealed to me since I was at Oxford because they are exciting morning, noon, and night" (Jeffrey Archer).
b. The methods or tactics involved in managing a state or government: The politics of the former regime were rejected by the new government leadership. If the politics of the conservative government now borders on the repressive, what can be expected when the economy falters?

3. (used with a sing. or pl. verb) Political life: studied law with a view to going into politics; felt that politics was a worthwhile career.
4. (used with a sing. or pl. verb) Intrigue or maneuvering within a political unit or a group in order to gain control or power: Partisan politics is often an obstruction to good government. Office politics are often debilitating and counterproductive.
5. (used with a sing. or pl. verb) Political attitudes and positions: His politics on that issue is his own business. Your politics are clearly more liberal than mine.
6. (used with a sing. or pl. verb) The often internally conflicting interrelationships among people in a society.

Usage Note: Politics, although plural in form, takes a singular verb when used to refer to the art or science of governing or to political science: Politics has been a concern of philosophers since Plato. But in its other senses politics can take either a singular or plural verb. Many other nouns that end in -ics behave similarly, and the user is advised to consult specific entries for precise information.




Kwa hio neno Siasa halina tafsiri ya kiswahili?
 
1. "Siasa ni wizi wa kura"
2. "Siasa ni kutoa maamuzi kinyume cha katiba jinsi unaona inafaa na kwa uwezo ulionao "
3. "Siasa ni kutoheshimu maamuzi sahihi ya wananchi"

Hizi ni maana 3 za siasa nilizoziona mara tu baada ya uchaguzi mkuu wa 2015!
 
Wakati fulani unaweza kumsikia Mkuu wa Mkoa fulani akisema kuwa "wanasiasa" wanawapotosha wananchi, au "huu si wakati wa siasa bali ni wakati wa kuchapa kazi" Lakini siasa ni nini na wanasiasa kwa hapa kwetu Tanzania ni kina nani hasa? Kwa Mfano iliposemwa mikutano ya hadhara ya wanasiasa imepigwa marufuku ni mikutano ipi hiyo?
 
Hivi nini maana ya siasa?kila kiongozi aliyekuwa madarakani kwa sasa hivi hawataki siasa,nisadieni siasa maana yake ni nini?
Siasa ni jinai?
 
kuna tafsiri nyingi za siasa, siasa ni uhuni , siasa ni mchezo mchafu, siasa ni uwongo,au in english " politics is a deliberate plan of spreading idea
 
Si hasa= kitu ambacho hakipo sawa,hakija kamilika so sio kitu cha kukiamini hata kidogo
 
Siasa ni njia ya kufanya maamuzi katika taifa,mji au familia.Nyenzo kuu ya siasa ni majadiliano.
 
SIASA. ni sayansi ya jamii hasa inayohusu mfum0 mzima wa masuala ya u0ngozi, haki na sheria
..
by mwalimu wangu
 
Siasa ni mambo yanayohusu jamii,kama vile afya,maji,ekimu,usalama wa RAIA michezo,na kadhalika
Swali kwanini inakatwazwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom