[/FONT
Wachumi naomba mnisaidie maana kamili ya neno Inflation kwani naona bei za vitu zinazidi kupanda lakini anakuja afisa mzito wa Serikali/Takwimu anasema Inflation au mfumuko wa bei unazidi kupungua. Hilo mimi silielewi kwa lugha ya kawaida. Msaada tafadhali.
Wachumi naomba mnisaidie maana kamili ya neno Inflation kwani naona bei za vitu zinazidi kupanda lakini anakuja afisa mzito wa Serikali/Takwimu anasema Inflation au mfumuko wa bei unazidi kupungua. Hilo mimi silielewi kwa lugha ya kawaida. Msaada tafadhali.