Nevergive up
JF-Expert Member
- Dec 24, 2024
- 372
- 574
Nimeota niko ndani ya nyumba nimefungiwa siwezi kutoka yani kifupi nimetekwa lakni nilikuwa natafuta kila siku njia ya kutoroka nakosa lakini akaja mgeni ndani kumbe hajui kama nimetekwa pale
Basi nikamuomba anifungulie mlango nilisingizia kuna mtu ananiita nje baada ya kunifungulia nikaanza kukimbia lkn ile natoka nje nakutana na giza sana nje kiasi kwamba sioni njia lkn wakati nakimbia hivyohivyo ghafla
Nikaona mtu mbele yangu akingaa sana kama taa akiwa anakimbia mbele yangu kwahyo nikawa naona njia vzr huku nakimbia ,tumekimbia sana nikimfata mtu yule hadi kulipopambazuka ndipo akanionesha njia ya kupita na nikamshukuru na hapohapo usingizi akaisha nikazinduka
Basi nikamuomba anifungulie mlango nilisingizia kuna mtu ananiita nje baada ya kunifungulia nikaanza kukimbia lkn ile natoka nje nakutana na giza sana nje kiasi kwamba sioni njia lkn wakati nakimbia hivyohivyo ghafla
Nikaona mtu mbele yangu akingaa sana kama taa akiwa anakimbia mbele yangu kwahyo nikawa naona njia vzr huku nakimbia ,tumekimbia sana nikimfata mtu yule hadi kulipopambazuka ndipo akanionesha njia ya kupita na nikamshukuru na hapohapo usingizi akaisha nikazinduka