Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Habari,
Kumekuwa na nadharia nyingi za nini maana ya mtu kutoboa maisha hapa Tanzania.
Mfano unaweza kukuta mtu anasema anataka ahamie mkoa wa Simiyu ili akatoboe maisha!
Je, kutoboa maisha ni nini?
Ni kuwa na majumba, viwanja, magari ,wake wengi au watoto wengi?
Kumekuwa na nadharia nyingi za nini maana ya mtu kutoboa maisha hapa Tanzania.
Mfano unaweza kukuta mtu anasema anataka ahamie mkoa wa Simiyu ili akatoboe maisha!
Je, kutoboa maisha ni nini?
Ni kuwa na majumba, viwanja, magari ,wake wengi au watoto wengi?