Unatamka Kinyume chake yaani Lekusum. Unao wa kizungu unataka uwe unauita kizungu?Nini tafsiri sahihi ya kingereza ya neno msukule? Anayejua anisaidie
ahahahahahaahZombie
Hata kwa kiswahili hilo neno halina maana yoyoteNini tafsiri sahihi ya kingereza ya neno msukule? Anayejua anisaidie
ghost ni mzimu.... Msukule ni tofauti na mzimu, Mi nadhani misukule ya Lumumba itakuwa na MajibuGhost.