Sekretarieti ya Ajira
Member
- Nov 15, 2022
- 25
- 142
Mchakato wa ajira ni utaratibu wa kupata mtumishi wa kumwajiri. Mchakato huu unaanza katika hatua ya kupata kibali cha ajira, kutoa tangazo la ajira, kupokea maombi ya kazi,kufanya uchambuzi wa waombaji kazi ili kupata wale waliokidhi vigezo, kuita waombaji katika usaili, kuendesha usaili, kuidhinishwa kwa matokeo ya usaili na kupanga waombaji waliofaulu usaili kwa Waajiri.
Haya yote yanafanyika kwa kuzingatia sheria na taratibu
Haya yote yanafanyika kwa kuzingatia sheria na taratibu