Nini maana ya kuoa?

maliza shule kwanza ukija mtaan utayakuta, ww uwe mjuaji kila cku tu alaf yeye awe chin mtaongea badaye kiboyfrend.
nimalize mara ngapi mkuu nina zaidi ya miaka 5 sasa kitaani... swala ni kila mtu kusoma upepo wa hali na kumjua mtu wake...
 
ulishtumiwa na makosa gani hadi ukajikuta kwenye hiyo jela
 
kilichokufanya uingie toka mwanzo ilikuwa ni nini haswa?
 

exactly....wengi wetu tunakurupuka sana, inabidi kutuliza akili sana kabla ya kufanya maamuzi au kujitia kitazi cha milele
 
Mimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?
ukiifananisha ndoa na jela itakusumbua mmno; miaka 2 tu unalalama, tuullize sisi walioko humo zaidi ya miaka 20, ni zaidi ya undugu, na watoto wetu sasa tunawaona kama wadogo zetu kwa sababu ya ukariribu tuliojijengea
 
Mimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?
tupe hint nini kinakusibu ili tujifunze kiongozi maana umeyuacha blank.....ndoa hizi mbona balaaa..umekosea wapi au nini kimetokea?
 
Siamini Eti hadi sasa Lowassa na Kikwete hawawasiliani wala kusalimiana!
 
Kwani yamekukuta Yapi,labda tuanzie hapo
 
Mimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?

Solution?
= Uislam.

Hakika mada kama hizi ndipo unapojuwa kuwa Uislam ni mfumo wa maisha uliokamilika.
Hakuna taabu za namna hii katika Uislam, kila kitu kiko wazi kabisa.
 
Solution?
= Uislam.

Hakika mada kama hizi ndipo unapojuwa kuwa Uislam ni mfumo wa maisha uliokamilika.
Hakuna taabu za namna hii katika Uislam, kila kitu kiko wazi kabisa.
Dah....na hasa ile ndoa ya mkataba, inachochea sana uwajibikaji. Hakuna namna watu inabidi wabadilike waachane na hizo jela za maisha[emoji4]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…