nimalize mara ngapi mkuu nina zaidi ya miaka 5 sasa kitaani... swala ni kila mtu kusoma upepo wa hali na kumjua mtu wake...maliza shule kwanza ukija mtaan utayakuta, ww uwe mjuaji kila cku tu alaf yeye awe chin mtaongea badaye kiboyfrend.
Ndoa ni muunganiko mwema na wenye furaha tele kwa kipindi chote cha maisha yako endapo utaangukia katika mikono sahihi ya mtu anayejua nini maana ya ndoa na aliyekuwa tayari kuoa au kuolewa kwa wakati huo.......
Ndoa ni tukio kubwa sana katika maisha ya mwanadamu kwa hiyo linataka utayari wa nafsi na mwili vile vile na kiuchumi.....uamuapo kuoa ni lazima ukubali kubadilika kwani huwezi kuishi kama zamani kwani haupo peke yako tena.......
Unapofikiria kuoa au kuolewa huna budi kukaa pekee yako na kusema na nafsi yako je upo tayari kwa tukio hilo...???
Kuna watu wanaoa au kuolewa wakichochewa na mihemko ya balehe na ngono.....bila ya kujua kuwa ndoa ni kifungo cha maisha...
Wengine wanaoa au kuolewa kwa ajili ya mali hawa wote lazima ndoa wazione chungu na zenye kukera kwani kuna tofauti kubwa kuishi na mwenzio na kuishi peke yako.......kuishi maisha ya ndoa kunataka hekima ya hali ya juu sana ...kitu ambacho vijana wengi wamekikosa.....pia uvumilivu ni silaha kubwa kwenye maisha ya ndoa....kwani unakwenda kutumia kipindi chote cha maisha yako na mtu mwenye tabia na fikra tofauti na zako.....kuna tabia unaweza ukamuweka sawa na akakuelewa na kuna baadhi itabidi umvumilie kwani ni ngumu kubadilika.......
Vijana wanapotarajia kuoa au kuolewa inabidi wajiulize kuwa wapo tayari kwa tukio hilo kubwa....??
ukiifananisha ndoa na jela itakusumbua mmno; miaka 2 tu unalalama, tuullize sisi walioko humo zaidi ya miaka 20, ni zaidi ya undugu, na watoto wetu sasa tunawaona kama wadogo zetu kwa sababu ya ukariribu tuliojijengeaMimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?
haya bhana tukutane jumamos kwenye kikao.nimalize mara ngapi mkuu nina zaidi ya miaka 5 sasa kitaani... swala ni kila mtu kusoma upepo wa hali na kumjua mtu wake...
Miaka.miwili tu ndo unalia?
YES, AMUACHE AENDE AONE ITAKAVYOKUWA ISHU KUPATA MWINGINE
til death do us partMimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?
Mtafute Monica akushauriMimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?
Dah,., kwani uko Dar au mkoa? Maana staili zinatofautiana[emoji4]Mimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?
wanatutisha kweliMbona tunatishana sasa nahamu sana ya kuoa ndio kwanza nina 27 mnanitia uoga sn mlioko ndoani
Kata rufaaMimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?
tupe hint nini kinakusibu ili tujifunze kiongozi maana umeyuacha blank.....ndoa hizi mbona balaaa..umekosea wapi au nini kimetokea?Mimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?
Mimi ni kijana umri 32 Nina miaka 2 ktk ndoa sitamani tena maana Niko jela ya ndoa, je nifanyeje kutoka?
Dah....na hasa ile ndoa ya mkataba, inachochea sana uwajibikaji. Hakuna namna watu inabidi wabadilike waachane na hizo jela za maisha[emoji4]Solution?
= Uislam.
Hakika mada kama hizi ndipo unapojuwa kuwa Uislam ni mfumo wa maisha uliokamilika.
Hakuna taabu za namna hii katika Uislam, kila kitu kiko wazi kabisa.