Nini maana ya kantangaze?

Hehee!kila mtu kantangaze kantangaZee,utangazwe kwa kipi cha ajabu ulichokua nacho?binafsi siupendi huo msemo
 
kantangaze ni kumfagilia mtu,kwa kitu chochote kile.kama amependeza unammwambia umependeza,unamjibu kantangazeee

Hapa ndo tutajuana vizuri mabinti wa uswazi lazima hili neno mtakuwa mnalifahamu vizuri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…