moekhitaryan
Senior Member
- Oct 3, 2016
- 121
- 105
wakuu naomba tutoane giza kuhusu hilo !
unauwakika kaka?Hons degree ni degree Ya heshima.ambaye
anapewa Mwanafunzi ambaye hana supplementary
wala carry over.
Yap,na ambaye ufaulu wake unaongezeka kadri cku zinavyozidi kwenda bila kushuka.unauwakika kaka?
hvo vgezo ndo navihitaj coz mwingine gpa inapanda ila anacarry na sup piaNi degree ya heshima ila naamini ina vigezo vingi kwani kuna rafiki zangu wameipata ila wamefika 3.5 GPA na kinachonipa ukakasi ni yupo ambae ufaulu wake ilipanda ukashuka alafu ukapanda tena.
Pia yupo mwingine alipata sup ila ufaulu ulienda ukipanda.
sap na carry je?Yap,na ambaye ufaulu wake unaongezeka kadri cku zinavyozidi kwenda bila kushuka.
wakuu naomba tutoane giza kuhusu hilo !
Soma replies za juu utaelewasap na carry je?
mkuu nmekusoma vp kuhusu gpa kupanda its not considered?Hons degree ni degree Ya heshima.ambaye
anapewa Mwanafunzi ambaye hana supplementary
wala carry over.
nmekusoma it mean no sup,no carry na gpa kupanda kila semister! thank uSoma replies za juu utaelewa
Honors = kwa mtu ambae hajawahi kupata sup.
Not sure 100% though.
Hons degree ni degree Ya heshima.ambaye
anapewa Mwanafunzi ambaye hana supplementary
wala carry over.