Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,611
- 21,135
mi GPA yangu sio kali ila sijawahi kusupp,je ninastahili kuwa na honour?
Kama GPA ilikuwa kila mwaka inafluctuate kama umeme wa TANESCO, hustahili
mi GPA yangu sio kali ila sijawahi kusupp,je ninastahili kuwa na honour?
hujapata supp ila unafloat kwenye kiGPA cha 2.X mzee Hon. sio ya kwako, lazima uwe na atleast 3.5 in each end-of-the year reasult, na iwe inapanda mwaka hadi mwaka, na uwe hujawahi kupata supp hata moja, I got this info from Director wa school fulani hapa UDSMmi GPA yangu sio kali ila sijawahi
kusupp,je ninastahili kuwa na
honour?
Kama GPA ilikuwa kila mwaka inafluctuate kama umeme wa TANESCO, hustahili
Sio kweli, nimewahi kusapp, na nina Hons Degree...!Hons degree ni degree Ya heshima.ambaye
anapewa Mwanafunzi ambaye hana supplementary
wala carry over.
Endapo GPA haitashukami GPA yangu sio kali ila sijawahi
kusupp,je ninastahili kuwa na
honour?
Ngoja tutafute info za uhakika kweny source za vyuo husika.hvo vgezo ndo navihitaj coz mwingine gpa inapanda ila anacarry na sup pia
Acha uongo , wewe umesoma Chuo gan au wale vlzHonors = kwa mtu ambae hajawahi kupata sup.
Not sure 100% though.
Acha kufunga kamba watu kama hujui , usbashirmkuu nmekusoma vp kuhusu gpa kupanda its not considered?
Huna akili... Stupid.Acha uongo , wewe umesoma Chuo gan au wale vlz
Uspanik bro some time humu jumvin huwa tunachemshana tuuu, nisamehe sanaHuna akili... Stupid.
Mbona watu wamepata sup na wana HornsHons degree ni degree Ya heshima.ambaye
anapewa Mwanafunzi ambaye hana supplementary
wala carry over.
vyuo gani hivyo mtu anakula supp, anafeli tena anakula carry, ana GPA ya 2.X na anakula Hon. Degree?? au ndo vyuo vyenu vya Bahari University?? ...sasa ingekuwa hivyo si graduates wote wangekuwa wanakula HonoraryKuna jamaa yangu alikua ame carry lkn pia ana 2.8 alipata honour
Mkuu nko na ww nlipata Sup ila nlianza na 3.3, 3.8, 3.9 nna honoursSio kweli, nimewahi kusapp, na nina Hons Degree...!
Kigezo ni ufaulu usioshuka kila mwaka
Binafsi nimewapata ,binafsi nasubiri graduation soon ,swali langu je hyo degree y heshima kutawekwa nn kwenye cheti or elsewhere kuonyesha uwepo wake?