Geofrey tibert
Member
- Oct 13, 2016
- 68
- 62
Yes inaweza ikawa kweli ila don't complicate life. Na kuwatisha watu ndugu. Hekima ni experience ya magumu mtu aliyeyapitia na kujifunza bila kukata tamaa na baadae kuyaaply kwenye maisha ya kawaida na kwa watu waliomzunguka ili kuwasaidia.Wakuu naona wengi mnajibu kwa mazoea Sana!!
Kwanza fatilieni WISEMEN walikuwa watu hapo zamani.
Wisemen ndo walikuja kuitwa PHILOSOPHERS baadae kidogo.
Naomba mfatilie CHIMBUKO LA WISEMEN/PHILOSOPHERS walikuwa watu wa namna gan na walikuwa na sifa gan na walizipataje hizo sifa za kuitwa WISEMEN/PHILOSOPHERS.
Tumia PYTHAGORAS Kama CASESTUDY