Lakini ex harudiwi mkuu 😅😅kidding!!Kiukweli kitu pekee cha maana nilichokifanya ni kurudiana na mwanaume wa maisha yangu.
Baada ya kugundua nilipotea nilijirudi, nikaomba msamaha na hivi sasa maisha yamekuwa na maana kila kitu kinaenda sawia kwa mapenzi & amani anayonipa.
Sijui nilifeli wapi haki!
Ila nimejifunza, sitorudia tena.
Mwaka 2023 umekuwa bora sana kwangu, Mungu ni mwema.
Safi sanaKiukweli kitu pekee cha maana nilichokifanya ni kurudiana na mwanaume wa maisha yangu.
Baada ya kugundua nilipotea nilijirudi, nikaomba msamaha na hivi sasa maisha yamekuwa na maana kila kitu kinaenda sawia kwa mapenzi & amani anayonipa.
Sijui nilifeli wapi haki!
Ila nimejifunza, sitorudia tena.
Mwaka 2023 umekuwa bora sana kwangu, Mungu ni mwema.
Huyo sio ex Mkuu, nimesema ni mwanaume wa maisha yangu.Lakini ex harudiwi mkuu 😅😅kidding!!
Sio kujibana, ni kutafuta zaidi.Dah mipango sio matumizi...mwaka unakimbia sana...hela nimepata ila imeishia kula...kweli maendeleo ni kujibana