Nini maana ya hekima na ninawezaje kuipata?

Nini maana ya hekima na ninawezaje kuipata?

Decibel

Senior Member
Joined
Nov 30, 2019
Posts
176
Reaction score
322
Habari wana JF,

Mimi ni mgeni hapa jamvini, nomba niende moja kwa moja kwenye mada kama hapo juu inavyosema.

Ninaomba kujua hekima maana yake nini na ninawezaje kuipata.

Karibuni wakuu.
 
Kuna Dr mmoja anaitwa Elly VD kuwa anakipindi chomoza kwa sasa anazungumzia mwanga wa akili kagusia masuala ya wisdom kama unataka kuchukua nondo mbili tatu ingia youtube tafuta somo 'la mwaka wa akili utajifunza kitu.
 
Hekima haipatikani.Hekima Ni application ya knowledge uliyonayo.

Knowledge waweza ipata kwa kusoma ,maongezi,experience nk uki apply hiyo knowledge na ikaleta results nzuri ndio unaitwa una hekima.

Mfano umesomea biashara hiyo Ni knowledge uki I apply ukaanzisha Azam TV,Azam foods nk wewe Sasa ndio unaitwa mwenye hekima.

Unataka kuitwa mwenye hekima apply knowledge hiyo uliyonnayo I produce good results
 
Hekima au Hikmah ni mtu kuweza kutoa maamuzi ya haki bila kuegemea upande wowote
Kujua mambo mengi na kuyapambanua vizuri
Mtu mwenye hekima anaweza kutatua tatizo baina ya watu bila kukosea
Knowledge of the reality of things
Hekima ni mtu kuwa WISE na wisdom kama ntaeleweka
 
Back
Top Bottom