Nini lengo la VTS na kwanini isiwe speed governor?

Nini lengo la VTS na kwanini isiwe speed governor?

Habari za Muda huu Mkuu,

Ulijaribu kufikiria ni vipi endapo yakatokea mazingira ambayo yanamhitaji dereva kukimbia speed zaidi ya iliyowekwa kwenye SG? Labda tuchukulie watu wenye nia ovu wanalikimbiza Basi lililofungwa kifaa hiko au labda kukawa kwa bahati mbaya mama mjamzito ambaye anahitaji msaada wa haraka na ni eneo ambalo wapo ni mbali na Huduma za afya au labfa hata Mgonjwa akawa anahitaji msaada wa haraka.
Salama mkuu.

Sasa hapa hiyo nia ovu inalindwa na serikali ikifanya biashara na genge flani tu?

Ni wapi walitumia hizo VTS kukamata hao waovu kama sio kupitia kwa raia ambao hata huo mfumo hawaujui?

Kwa nini gharama iwe kubwa namna hiyo kama nia ni kulinda na kuhudumia hadhira pindi inapohitajika?

Ni wapi hiyo fine inaletwa kwa mmiliki/dereva ikiwa na nafasi ya kujitetea?
 
Kwa mtazamo wangu, hii naiona ni biashara kama biashara yeyote.
Sababu kubwa ya mimi kuita biashara in pale wanapo subiria chuma ivuke kiwango kinacho kubalika ili wapate faini.
wazee wa kubet...chombo kinakula mpaka 1m hahahahhaaaa
mjini akili tu..
 
Biashara ya wakubwa ile.
Zile device zauzwa dollar 80 ila wao wanawauzia 650K
 
Ni mbinu za kula pesa, kuna vifaa vimefungwa Ubena na Bwawani njia ya Dar Morogoro, havijulikani vinapima nini, japo wanasema vinadhibiti matumizi mabaya ya barabara lakini siku hizi mabasi yanapita na speed 100
Hakuna basi inayoenda speed 100 labda hiyo haina VTS.
 
Habari za Muda huu Mkuu,

Ulijaribu kufikiria ni vipi endapo yakatokea mazingira ambayo yanamhitaji dereva kukimbia speed zaidi ya iliyowekwa kwenye SG? Labda tuchukulie watu wenye nia ovu wanalikimbiza Basi lililofungwa kifaa hiko au labda kukawa kwa bahati mbaya mama mjamzito ambaye anahitaji msaada wa haraka na ni eneo ambalo wapo ni mbali na Huduma za afya au labfa hata Mgonjwa akawa anahitaji msaada wa haraka.
Au dereva ameshaanza kulipita gari la mbele yake na inabidi akimbie 100+ kwa sekunde chache ili amalize overtake salama....
 
Biashara ya wakubwa ile.
Zile device zauzwa dollar 80 ila wao wanawauzia 650K
Yaani kuna muda natamani akili zetu zifunguke kama za wakenya tufanye maamuzi sawa sawa...yaani wanatafuta rushwa toka TRA wakati wao ndio ma papa kwa rushwa na wazi kiasi hichi!! Shame on them
 
Hakuna basi inayoenda speed 100 labda hiyo haina VTS.
Mkuu usibishe bila kuona, mie nimeona zaidi ya makampuni matatu, wala hiyo 85 haiwahusu!! Uliza usikie au safiri mikoa mbali mbali usikie
 
sijaelewa hii kitu
Uhalisia huo!

Hafu mbaya zaidi jamaa wanajificha wala hawapo ofisi za SUMATRA/LATRA wapo sehemu zingine tu.

Ukimaliza kwa SUMATRA/LATRA inabidi uwatafute wakupe muda wao kwamba ni lini watakuja kukufungia huo mfumo wao wa wizi ulio barikiwa na serikali.

Ila watu hawana aibu!
 
Weka Speed App kwenye simu yako kisha panda BM za Arusha na Moshi au baadhi ya Abood Bus za Moro Dar
Hawajui ujuzi wako unapoishia unaanza wa mwingine!!!!

Asante mkuu
 
Back
Top Bottom