HSIRAJI
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 743
- 1,523
Habarini wakuu
Moja kwa Moja kwenye mada:
Jameni nimeamka nikawa nawaza kitatokea nini KWA mfano utaamua kudanganya JINA na MAELEZO KITUONI ili kusudi uje ukatae hyo kesi haikuhusu
KWA mfano upo mkoa wa ugenini ukakamatwa let's say na vitu vya wizi sasa kama mnavyojua jeshi letu la polisi bado lipo analogy ukafikishwa KITUONI na kuandikwa MAELEZO wewe ukaamua Kudanganya jina, MAELEZO, dini na vitu vingi
Ili kusudi ukidhaminiwa tu cha kwanza mdhamini anapotea ( KAMA MNAVOJUA UNAWEZA NUNUA MDHAMINI HATA HAKUJUI KIBONGO BONGO IKICHANGIWA NA TAMAA ZA ASKARI WETU) na wewe kubaki huru hata kama ukibaki maeneo hayo pindi ambapo ukiitajika mahakaman utakataa sio
Wewe na utasema umekamatwa Jana usku let's say udhurulaji usku na (KAMA MNAVOJUA ASKARI WENGI HAPA KWENYE KESI ZA UDHURULAJI WANAFIKAGA NA KUWAWEKA NDANI BILA KUWA CHUKUA MAELEZO SABABU YA UVIVU) kusema majina yako kamili na ya kwel na dini yako na kusema wewe sio mwenye hyo kesi
WAJUZI WA SHERIA MSAADA IMEKAAJE HIYO JE? UNAWEZA ESCAPE KWA STYLE HIYO..
Moja kwa Moja kwenye mada:
Jameni nimeamka nikawa nawaza kitatokea nini KWA mfano utaamua kudanganya JINA na MAELEZO KITUONI ili kusudi uje ukatae hyo kesi haikuhusu
KWA mfano upo mkoa wa ugenini ukakamatwa let's say na vitu vya wizi sasa kama mnavyojua jeshi letu la polisi bado lipo analogy ukafikishwa KITUONI na kuandikwa MAELEZO wewe ukaamua Kudanganya jina, MAELEZO, dini na vitu vingi
Ili kusudi ukidhaminiwa tu cha kwanza mdhamini anapotea ( KAMA MNAVOJUA UNAWEZA NUNUA MDHAMINI HATA HAKUJUI KIBONGO BONGO IKICHANGIWA NA TAMAA ZA ASKARI WETU) na wewe kubaki huru hata kama ukibaki maeneo hayo pindi ambapo ukiitajika mahakaman utakataa sio
Wewe na utasema umekamatwa Jana usku let's say udhurulaji usku na (KAMA MNAVOJUA ASKARI WENGI HAPA KWENYE KESI ZA UDHURULAJI WANAFIKAGA NA KUWAWEKA NDANI BILA KUWA CHUKUA MAELEZO SABABU YA UVIVU) kusema majina yako kamili na ya kwel na dini yako na kusema wewe sio mwenye hyo kesi
WAJUZI WA SHERIA MSAADA IMEKAAJE HIYO JE? UNAWEZA ESCAPE KWA STYLE HIYO..