Nini kitatokea endapo jua litazima/ litapotea?

Nini kitatokea endapo jua litazima/ litapotea?

Joined
Jul 30, 2018
Posts
49
Reaction score
42
Habari zenu.
Mimi mi mpenzi sana wa mambo ya intelligence. Ni mgeni kidogo humu jf upande wa kuwa member. Jukwaa hili ndio limenishawishi niweze kuwa member kamili ili niweze shiriki vizuri jukwaani.

Hivi ktk ulimwengu wetu huu, jua kama ndio chanzo cha gravity, nishati nk, ikatokea limezima ghafla, ulimwengu utakuwaje? Haswa hapa ktk dunia yetu, ni nini kitatokea?

Asanteni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom