Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Siku hizi Kila ukifungulia Chanel Ten habari utaona eti viongozi wakuu wa wilaya wakihamasisha vijana kukimbia mchakamchaka jogging clubs kuimarisha afya.
Swali la kujiuliza mikusanyiko hii Tena hawavai barakoa ni ya nini kipindi hiki cha maambukizi ya korona?
Pamoja na kwamba kufanya mazoezi ni Jambo jema lakini CCM kila wakifanyacho ujue kuna ajenda yenye hila ndani.
Huu ni mpango mkakati wa kijasusi kuelekea 2025 yangu macho mtaukumbuka huu Uzi japo nyuzi hufutwa sana siku hizi.
Swali la kujiuliza mikusanyiko hii Tena hawavai barakoa ni ya nini kipindi hiki cha maambukizi ya korona?
Pamoja na kwamba kufanya mazoezi ni Jambo jema lakini CCM kila wakifanyacho ujue kuna ajenda yenye hila ndani.
Huu ni mpango mkakati wa kijasusi kuelekea 2025 yangu macho mtaukumbuka huu Uzi japo nyuzi hufutwa sana siku hizi.