Nini kinawarudisha kwa MaX

Nini kinawarudisha kwa MaX

kuna show nyengine zinakuwaga one of the kind,show za kibabe hatari.yaan kila ukizifikiria unadata.alaf unakuta yule mpya ulie naye sasa hana ishu,gogo si gogo.
 
kuna show nyengine zinakuwaga one of the kind,show za kibabe hatari.yaan kila ukizifikiria unadata.alaf unakuta yule mpya ulie naye sasa hana ishu,gogo si gogo.
Lol! Kwanini usifanye kujua shoo ni vepee huko ugenini kabla hujatimka mazima?
 
Lol! Kwanini usifanye kujua shoo ni vepee huko ugenini kabla hujatimka mazima?
ndugu usiombe tu ukutane na haya.binadamu wabaya sana.unaweza kukuta mwanzo alikuwa na mashamsham hatari,mauno feni,nyonga ya dondola lakini mkishaingia kwenye long term relationship ama ndoa basi lile tendo linakuwa kama jukumu tena na sio starehe.ile ashki,utundu,mshawasha furaha na utamu wa tendo unapotea taratibu mpaka unaisha kabisa hapo sasa ndo watu wanaanza kutoa vichwa dirishani kuangalia kama wanaweza pata ahueni huko nje
 
kuachana si kwamba mtu anakuwa na majanga sana,hapana,sometime a little misunderstanding inaweza kuleta mvurugano wa ajabu sna,na mtu hata akipata demu mpya bado kunakuwa na utofauti mana watu hawafanagi,sura inaweza kuwa nzuri-ila mambo mengine yakawa hovyo sana,na wengine unakuta chemistry zenu na x zilikuwa zinaendana sana kuliko huyu mpya
 
Kutengena na mpenzi wako haimaniishi kuwa humpendi au hampendani inawezekana kuna external forces (tena utakuka ni minor thing) zilizosababisha so vikwazo hvyo vikipungua mtu anamis vitu alivyokua akivipata kutoka kwa X wake........
 
Mimi Nikiletewaga Na Ex Naifyatua Kama Siijui.
Akitoka Hapo Namba Anafuta Kwa Kufeel Guilty,Ila Baada Ya Wiki Ya Ukimya Unashangaaa Tu "Mambo,How Is You" Najua Kishamuwasha Mtu Huko.
 
Kuna demu aliniacha kwa dharau enzi hizo baada ya kupata jamaa aliyemwambia atamuoa, kweli aliolewa ila baadaye akaanza kunitafuta..ooh! nataka nije nikutembelee..kisa..nimekukumbuka tu, nikamwambia njoo si unapajua.. ikabidi nimle tu huku akiomba samahani kibao..wala sikumuulizia jamaa yake.. inanihusu nini
 
Mpaka kesho sitakaaa nielewe maana ya mapenzi
Naamini hata shetani anaogopa kwa sasa maana kuna wanadamu wanamzidi ujanja.
 
Kuna demu aliniacha kwa dharau enzi hizo baada ya kupata jamaa aliyemwambia atamuoa, kweli aliolewa ila baadaye akaanza kunitafuta..ooh! nataka nije nikutembelee..kisa..nimekukumbuka tu, nikamwambia njoo si unapajua.. ikabidi nimle tu huku akiomba samahani kibao..wala sikumuulizia jamaa yake.. inanihusu nini
Mweeeeeh karibu JF
 
Back
Top Bottom