Nini kinatokea usiku huu hapa dar?

Nini kinatokea usiku huu hapa dar?

Kuna mtu anataka picha za sauti za hayo mabomu ili kunogesha habari
 
Konkii konkii konkii master.. eti nae yuko dar..uyu jamaa anafaa awe mkoani bhana,aendani nao kabisa
 
Bado yanaendelea kulia tu wengine tulijua mabomu kumbe Diwali.
 
Uoga umekushika mpaka unatetemeka mikono, tuliza uoga kisha uandike vizuri. Mwanaume mzima unakua lioga, empty set kabisa.
 
Yani kuna milipuko inasikika hapa Kinondoni sio mchezo sijui ni mabomu saut inatokea huko mjin mwanzo nljua ni hizi fireworks lkn toka saa 3 na sasa iv ni saa 6 yani ni kelele mtindo mmoja na akuna taharifa yoyote tuliyopata ada mda huu
Kwa ambaye anafahami kitu gan knaendelea atujuze jama hali sio shwari

Wengine hadi hivi sasa tumeweka ' Headphones ' katika masikio yetu na hatujasikia lolote je unaweza ukatiririka na kuserereka zaidi Mkuu utuambie Kiundani zaidi?
 
Ebwana mimi mwenyewe nipo tabata kisukuru hali ni hivyo hivyo tangu saa tatu mpaka sasa sijui ni kitu gani hicho
 
Ni kweli aisee mm nipo tabata kisukuru hizi mambo sijui zinatokea wapi cz zimeanza mda.
 
Back
Top Bottom