Nini kinatokea usiku huu hapa dar?

Nini kinatokea usiku huu hapa dar?

Sherehe za wahindi
Nadhani wale wanao abudu ngo'mbe
 
Hawa wahindi ni wakubwa kuliko serikali ya awamu ya 5? Wafikishwe mahakamani mara moja kwa kosa la uchochezi wa mabomu
 
Duh! Bora kupata jibu maana mwenye nyumba ananipigia makelele mabomu!! Mambo mengine kutiana pressure buree, ngoja tukalale aisee Dah!
 
Hebu kalalen huku sis huwa tunasonga mlio wa Simba na kawaida
 
Mwanaume wa dar acha woga...amka ukacheki soo lilivyo,kama n mabomu u can save some souls there....wew umejifunika shuka tu half unataka taarifa tu...huku mikoani tunaua chui bila siraha wew mlipuko tu umejikunyata daaah
 
Back
Top Bottom