Wanga kinomani Diwali sherehe ya wahindi wanalipua fashfash sema walivyo wapuuzo huwa hawatootaarifa kwa umma,kama mtu anamgonjwa ndani inakuwaje
ni uchawi juu ya uchawi
tuwatimue kama Idd aminWanga kinoma
Sikukuu ya wanaoamini dini ya Hindu.Eti ni Diwali...sijui ndo nini
tupe taarifa zaidi mkuuWakuu kwema, kuna milio mizito mizito naisikia maeneo ya kariakoo au posta kutokea hapa Ilala mwenye taarifa au aliye maeneo hayo pls tujuze nini kinaendelea
Kishawaka mkuu wahi mpakani au jichanganye ubalozi ulio jirani yako.Wakuu kwema, kuna milio mizito mizito naisikia maeneo ya kariakoo au posta kutokea hapa Ilala mwenye taarifa au aliye maeneo hayo pls tujuze nini kinaendelea
Itakuwa wadosi wapo kwenye Diwali.Wakuu kwema, kuna milio mizito mizito naisikia maeneo ya kariakoo au posta kutokea hapa Ilala mwenye taarifa au aliye maeneo hayo pls tujuze nini kinaendelea
Madam,si unajua kinondoni walivyojazana wengi?

HahaaWanaume wa dar ata waki sikia sauti ya PAKA bc wata amshana wotee..![]()