Nini kinatokea usiku huu hapa dar?

Nini kinatokea usiku huu hapa dar?

Mengine km mabomu bana mm Niko katkat ya jiji haya ni mabomu sio fataki
 
Wanasema sherehe za wahindi ila duh km mabomu bana nayaskia vilivyo
 
Na mi nimeshindwa kulala sauti kama kitu kinalipuka. Asante mdau uliyesema Diwali. Sasa naweza kulala.
 
Mimi huku kwetu mbona huku kwetu sisikii? ila kuna group nimeona rafiki yangu analalamika
 
Yani kuna milipuko inasikika hapa Kinondoni sio mchezo sijui ni mabomu saut inatokea huko mjin mwanzo nljua ni hizi fireworks lkn toka saa 3 na sasa iv ni saa 6 yani ni kelele mtindo mmoja na akuna taharifa yoyote tuliyopata ada mda huu
Kwa ambaye anafahami kitu gan knaendelea atujuze jama hali sio shwari
 
Back
Top Bottom