Nini kinasababisha taa ya blue kuchelewa kuzimika?

Makobus

Senior Member
Jul 30, 2012
161
103
Ipo taa ya blue inayowaka kwenye dash board ambayo huanza na rangi ya njano engine inapowaka, halafu blue na kisha kuzimika kabisa.

Wakati nikinunua gari taa hii ilikuwa inachukia dakika kama tatu au nne hivi inazimika. Lakini sasa hivi inachelewa hadi dakika kama tano hadi saba hivi kuzimika. Tatizo ni nini?
 
Ipo taa ya blue inayowaka kwenye dash board ambayo huanza na rangi ya njano engine inapowaka, halafu blue na kisha kuzimika kabisa. Wakati nikinunua gari taa hii ilikuwa inachukia dakika kama tatu au nne hivi inazimika. Lakini sasa hivi inachelewa hadi dakika kama tano hadi saba hivi kuzimika. Tatizo ni nini?
Nimegoogle nikapata majibu kama haya??? (nayaita majibu

So we bought the 2010 Forester for my wife. We owned the car a little less than a month and we always see the blue coolant/temperature light when we start the car in the cold morning. It takes about 30 seconds (or sometime longer) before it clears itself. According to the manual, it is okay to be blue and I have read that it is to indicate the engine is not warmed up yet.

My wife refuses to move the car until the blue light disappears. (Any advice?)

We are wondering how long it takes for the blue light to clear for other 2009/2010 forester owners. Can you also indicate whether your forester is in a cold weather or warm weather environment. That would be helpful too.


Jibu
My recollection is that my car's blue temp light turns off when the coolant temp reaches ~122F (~50C). How long the engine takes to reach that temp will depend on ambient temp, initial loads, etc. It'll be one thing in the summer, and another in the winter. I've never let it just sit and idle long enough to extinguish the light.
 
Nimegoogle nikapata majibu kama haya??? (nayaita majibu

So we bought the 2010 Forester for my wife. We owned the car a little less than a month and we always see the blue coolant/temperature light when we start the car in the cold morning. It takes about 30 seconds (or sometime longer) before it clears itself. According to the manual, it is okay to be blue and I have read that it is to indicate the engine is not warmed up yet.

My wife refuses to move the car until the blue light disappears. (Any advice?)

We are wondering how long it takes for the blue light to clear for other 2009/2010 forester owners. Can you also indicate whether your forester is in a cold weather or warm weather environment. That would be helpful too.


Jibu
My recollection is that my car's blue temp light turns off when the coolant temp reaches ~122F (~50C). How long the engine takes to reach that temp will depend on ambient temp, initial loads, etc. It'll be one thing in the summer, and another in the winter. I've never let it just sit and idle long enough to extinguish the light.
Ahsante sana. Nasubiri majibu ya wataalam wengine zaidi.
 
Ipo taa ya blue inayowaka kwenye dash board ambayo huanza na rangi ya njano engine inapowaka, halafu blue na kisha kuzimika kabisa.

Wakati nikinunua gari taa hii ilikuwa inachukia dakika kama tatu au nne hivi inazimika. Lakini sasa hivi inachelewa hadi dakika kama tano hadi saba hivi kuzimika. Tatizo ni nini?
Kwa experience binafsi kwenye gari ndogo. Nilipoitoa thermostat gari ilikiwa inaweza tumia dakika hata 8 kuzima ila nilipoirudishia tu, taa inazima ndani ya muda mfupi saana
 
Ipo taa ya blue inayowaka kwenye dash board ambayo huanza na rangi ya njano engine inapowaka, halafu blue na kisha kuzimika kabisa.

Wakati nikinunua gari taa hii ilikuwa inachukia dakika kama tatu au nne hivi inazimika. Lakini sasa hivi inachelewa hadi dakika kama tano hadi saba hivi kuzimika. Tatizo ni nini?
Temperature sensor mbovu,

Thermostat
 
Kwa experience binafsi kwenye gari ndogo. Nilipoitoa thermostat gari ilikiwa inaweza tumia dakika hata 8 kuzima ila nilipoirudishia tu, taa inazima ndani ya muda mfupi saana
Gari ikiwa na thermostat inawarm up haraka sana, hili ukiwaambia watu hata hawaelewi, wanaleta habari zao ambazo hazina kichwa wala miguu.
 
Gari ikiwa na thermostat inawarm up haraka sana, hili ukiwaambia watu hata hawaelewi, wanaleta habari zao ambazo hazina kichwa wala miguu.
Aaaah.. kaka Jitu mara nyingi nikiwaeleza rafiki zangu umuhimu wa thermostat huwa ni mzozo.. wanakwambia "Tanzania kuna joto kali saaana inabidi utoe" .. hii argument huwa siipendi maana ambient outside temperature mpaka ije iipe gari effect ya joto au baridi ni kwa EXTREME environments tuu kama watu wa uarabuni ambapo joto huwa linafika mpaka nyuzi joto 49°-55°.. au nchi za barafu zilizo chini ya nyuzi joto 8°.. ila kwa sisi kama gari ina radiator iliyo sawa na coolant flow nzuri isiyo na leakage, injini huwa inafanya kazi kwa usanifu zaidi katika joto lake inalopendelea. Na operating temperature ya coolant kwenye injini ni 82°C ambalo ni joto la maji ya kunywea chai kabisa, na haliwezi fanana na joto la nje.

Wakitoa thermostat injini huwa inaoperate kwa sense ya kuwa haijapata joto sahihi, kupelekea idle valve kuogeza hewa na ECU kuongeza mafuta ili injini ipate joto. Hii inapelekea bad fuel economy hata kwa gari ndogo za chini ya tani moja.

Cha kushangaza zaidi ndugu yangu Jitu ni kwamba, tukiagiza magari kutoka japan au huko ulimwenguni, huwa yanakuja na thermostat intact na huwa yanafanya kazi very smoothly.. ila wakitia ujuaji tu mafundi wetu wa magari ya 80 na 90 gari inakuwa ya hovyo.

Mara nyingi huwa nashauri ndugu zangu. Kuliko kutoa thermostat, ni kheri watafute thermostat yenye low operating temperature ili ifunguke mapema kabla joto kuwa kali sana (hasa kwa magari makuu kuu yaliyochezewa sana na kina fundi maiko) kuliko isiwepo kabisa. Hii ni kwasababu efective cooling ni pale maji au coolant inapokaa kwenye gallery za injini na kunyonya joto kisha kutoka na kuruhusu maji au coolant iliyopoa kuja kuchukua nafasi hiyo. Na sio kwa maji kupita kwenye gallery za injini kama mferejini.. mwisho wa siku vitu vingi vinafeli taratibu kwa sababu ya UBISHI.

By the way kaka JituMirabaMinne nakubali saana post zako. You make sense a loot na you are a true professional mechanic. Nikija dar es salaam ipo kwenye ratiba ya kukutana na kubadilishana mawazo.

"Samahani kwa kiingereza kingi wana jamvi.. vya kimombo vinataka kimombo"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom