Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,588
- 7,254
Wana jukwaa naombeni msaada nina kausafiri kangu bhana ghafla kameanza kunitia hasara kwa ulaji wa mafuta usio wa kawaida...
Ni TOYOTA CAMI with 1.3 ltr petrol engine hapo mwanzo ilikuwa inakunywa mafuta kawaida yaani lita moja nilikuwa naenda kilomita 13 hadi 14 yani nikiweka full tank elfu 92000
Natumia hadi miezi miwili kwa matumiz yangu ya kawaida ambayo ni hayazidi km 10 per day sasa ghafla engine imechanganyikiwa inatumia lita 1 kwa kilomita 6 yani nimekuwa mtu wa kutembea na kidumu maana muda wowote mashine inakata wese ...
Naombeni kujua tatizo linaweza kuwa wapi maana kwa uzoefu wangu nikabadilisha spark plug..nikabadilisha fuel filter nikabadilisha air filter, nikabadilisha ignition coil lakini bado tatizo lipo palepale.
Msaada jamani mwenzenu naumia maana kagari kanakunywa mafuta kuliko range rover sport asee
Ni TOYOTA CAMI with 1.3 ltr petrol engine hapo mwanzo ilikuwa inakunywa mafuta kawaida yaani lita moja nilikuwa naenda kilomita 13 hadi 14 yani nikiweka full tank elfu 92000
Natumia hadi miezi miwili kwa matumiz yangu ya kawaida ambayo ni hayazidi km 10 per day sasa ghafla engine imechanganyikiwa inatumia lita 1 kwa kilomita 6 yani nimekuwa mtu wa kutembea na kidumu maana muda wowote mashine inakata wese ...
Naombeni kujua tatizo linaweza kuwa wapi maana kwa uzoefu wangu nikabadilisha spark plug..nikabadilisha fuel filter nikabadilisha air filter, nikabadilisha ignition coil lakini bado tatizo lipo palepale.
Msaada jamani mwenzenu naumia maana kagari kanakunywa mafuta kuliko range rover sport asee