Mkuu ww c wa kiume ushaanza kutamani kuzioondoa kitachokifuata naona utataka kuziondoa na makalioni baada ya hapo utarudi tena mbona rey waniache anasukumiwa nyama na mie nataka shauri yako.
umeenda mbali sana mkuu hz nywele sometimes ni kama uchafu tu na si wote wanapenda mzee sometimes huez hata jiachia kifua waz mbele ya watu sababu hz si za kuonesha hovyo.zingatia mada tafadhali
umeenda mbali sana mkuu hz nywele sometimes ni kama uchafu tu na si wote wanapenda mzee sometimes huez hata jiachia kifua waz mbele ya watu sababu hz si za kuonesha hovyo.zingatia mada tafadhali