miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,975
Hongera kwakoHa ha ha ha ha...... Mimi bahati nzuri ninajua ya feki na ya ukweli..... Ikikolea sawa sawa Itaonekana tu.... Huwezi kuficha!
Hongera kwakoHa ha ha ha ha...... Mimi bahati nzuri ninajua ya feki na ya ukweli..... Ikikolea sawa sawa Itaonekana tu.... Huwezi kuficha!
Kama hivyoila ni kweli wanawake wengi wanabakwa siku hiz na hulia kwa uchugu sio utamu. mwanaume umetoka huko na mipombe yako kichwani unawaza kuingiza tu bila kujali mwenzio yuko tayar au laa!!! ndio maana wake zetu nao hutafuta vijana wanaojua umuhimu wa kumuandaa mwanamke na anapigwa game mpaka anaomba maji wakati wewe ukipiga anaomba uache kidogo anaumia.
Sexual selfiness + neglecting your female partner=female partner kuchepuka.
Hongera na wewe!!!Hongera kwako
Asante mkuuHongera na wewe!!!
You are most welcomeAsante mkuu
Be real kwa nini useme ume pee while not, is it for business purpose?yani atajiona yeye ndiyo mwenyewe halafu unamdanganya unajua sijawahi kuenjoy kama navyo enjoy kwako kumbe namsanifu tu
Mngekuwa hamuwezi kila siku basi na msiwe mnaomba pesa kila siku. Tatizo lenu mnataka kula ila msiliwe.
Yani nikahangaike wee nikuhonge, na bado unipangie ratiba ya kunipa?
Shwain!
Naomba mutuelezee sisi wa huku Mtwara staili ya katerero ikoje?
Please ,tunataka na sisi tujifunze maana watu wa kusini huwa tunapiga kifo cha mende huku tumezima taa na baada ya bao moja tunalala '
wengine wanalia kwa sababu uchumi umekua mgumu sana kuliko dushe
ha haha shauri yao si hata wakitaka tuimbe pambio tutawaimbia
Mbona umewaka vipi..?Kibamia wewe kwa hiyo unataka kumkosoa Mungu?
Soon naanzisha kozi ya matumizi sahihi na yenye tija ya kibamia. ...course itafanyika wassap na wanafunzi mutajiunga kwa ada nafuu ya sh laki 1....Kumbe kunajinsi yakukitumia??