The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,147
Makundi ya mitandao ya kijamii ya WhatsApp huwa yanawasilisha umoja wa watu kuwa na malengo yanayofanana.
Lakini hali inakuwa tofauti kwa sababu inaonekana kwamba wengi wanashindwa kufuata kanuni walizojiwekea. Hii inatokea pale ambapo mtu anaingiza maongezi ambayo sio muhimu kwa wakati huo au kuleta ujumbe ambao mahali alipotuma si sahihi.
Je,ni jambo gani ambalo huwa linakukwaza katika makundi ya WhatsApp na namna gani unaweza kuepukana na kero hiyo?
Lakini hali inakuwa tofauti kwa sababu inaonekana kwamba wengi wanashindwa kufuata kanuni walizojiwekea. Hii inatokea pale ambapo mtu anaingiza maongezi ambayo sio muhimu kwa wakati huo au kuleta ujumbe ambao mahali alipotuma si sahihi.
Je,ni jambo gani ambalo huwa linakukwaza katika makundi ya WhatsApp na namna gani unaweza kuepukana na kero hiyo?