RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,722
- 2,602
Unakunywaje mabia machungu
Kunywa soda tena fanta baridi iyo ina vibez bira ataš
Kunywa soda tena fanta baridi iyo ina vibez bira ataš
Kumbe kufika fainal ni kitolewa kwa aibu, sawaBaada ya messi kutolewa kwa aibu sasa hivi umefikia huku nako
Ni kama vile unapopata uchovu unahotaji kupumzisha mwili na akili,ni kama unavyojisikia vizuru na kuburudika,ukivuta sigara,ni kama unavyojisikia uchovu kuishaukinywa kahawa,ama energy drink,na isiwe kutuliza hasira,amaili ukafanye ugomvi na msiyeelewana,ni sehemu ya kutumia muda kutafakati mambo kadhana kujiepusha na mazingira yatskayo kukera ama kumketa mwingine,yspo mazuri mengi ndani ys mvinyo kuliko mabaya yanayopatikana kwa mvinyo.Kwa upande wangu ni kutafuta š za vodafasta.
Yani mkipata sehem yenye Giza tuu ni kubend then š„ š„ š„ š„ š„
Vipi wewe??