Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,024
- 2,299
Yani kila mwaka lazima hii mikoa iburuze mkia, kwenye shule 10 za mwisho mkoa wa Tanga huwezi kosa kuanzia shule 3 kwenda juu, vivyo hivyo unguja na pemba, unakuta wamelundikana kule chini kwenye mikia, nini shida,
Nimeangalia shule kadhaa za Tanga mjini, korogwe na Lushoto, yani ni balaa, matokeo ni mabaya sana, unakuta shule ina zero karibu watahiniwa wote, Div waliofaulu wana 4 tena wachache.
kuna wilaya kadhaa za Tanga kama Handeni, Kilindi, Korogwe, Lushoto, Muheza, Mkinga, Pangani na Tanga mjini.
Wilaya zote hizi zinakadiriwa kua na watu 2M na ushee, na kusema kweli swala la kielimu kwao si kipaumbele kwa jamii!
Inabidi hii mikoa ijitadhmini kielimu, Ndugu zangu Wasambaa, Wazigua Wabondei, Wadigo, Tafadhali muamke sasa, Mambo yakusifiwa katika mapenzi yamepitwa na wakati.
Na Nyie maafisa elimu wa mkoa, wilaya na kata mjitathmini upya.. mnyanyue hiyo mikoa si kila siku kuburuza mikia!
Mwaka huu naona Kilimanjaro nayo imeingiza shule moja, hahaa naona hiyo shule wamepiga zirotu, hiyo shule imeaibisha mkoa.
Pia na kwa Dar kuna shule moja naona imakamatia kule mkiani, hii nayo yakuamgalia, kama vipi ifute na kuhamishiwa shule zingine kama wanavyofanya mabenk ambayo yameshindwa kujiendesha.
Nimeangalia shule kadhaa za Tanga mjini, korogwe na Lushoto, yani ni balaa, matokeo ni mabaya sana, unakuta shule ina zero karibu watahiniwa wote, Div waliofaulu wana 4 tena wachache.
kuna wilaya kadhaa za Tanga kama Handeni, Kilindi, Korogwe, Lushoto, Muheza, Mkinga, Pangani na Tanga mjini.
Wilaya zote hizi zinakadiriwa kua na watu 2M na ushee, na kusema kweli swala la kielimu kwao si kipaumbele kwa jamii!
Inabidi hii mikoa ijitadhmini kielimu, Ndugu zangu Wasambaa, Wazigua Wabondei, Wadigo, Tafadhali muamke sasa, Mambo yakusifiwa katika mapenzi yamepitwa na wakati.
Na Nyie maafisa elimu wa mkoa, wilaya na kata mjitathmini upya.. mnyanyue hiyo mikoa si kila siku kuburuza mikia!
Mwaka huu naona Kilimanjaro nayo imeingiza shule moja, hahaa naona hiyo shule wamepiga zirotu, hiyo shule imeaibisha mkoa.
Pia na kwa Dar kuna shule moja naona imakamatia kule mkiani, hii nayo yakuamgalia, kama vipi ifute na kuhamishiwa shule zingine kama wanavyofanya mabenk ambayo yameshindwa kujiendesha.