Elon J
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 630
- 1,846
Chumaulete kwa mikoa mingi ya Ukanda wa Pwani ni kama pension kwa wazee! Sijui ni kwasababu ya uvivu, kutopenda kujishughulisha na kazi especially kwa wanzee japo kuna hata vijana nao wana hizi tabia.
Yaani usiombee ufungue biashara kwenye hii mikoa mfano Dar (pembezon mwa mji) ambapo wenyeji wa Pwani bado wapo, utalia! Nilishashuhudia Mzee mmoja kanasa kwenye genge la mtu, inaonekana yule mwenye genge aliweka zindiko kwenye biashara yke, yule Mzee aliongea yote mpaka mganga wake aliyempa huo upuunzi!
Kwa mkoa wa Tanga nako ndiko usiseme, mfano maeneo ya Handeni huku chumaulete waziwazi. Unakuta kabisa Mzee anakuja dukani mkono mmoja ankuna au kauingiza kwenye makalio😳, hapo ukichukua hela yake ukachanganya na zako imekula kwako! Yaani ni heri umpe bure anachohitaji.
Ni mara chache sana kukutana na hivi vibweka katika mikoa ya Bara. Naona shida kubwa kwenye hii mikoa ya Pwani ni uvivu, hivyo mtu akishaaza kuzeeka tu anaona chumaulete kama pension yake!
Yaani usiombee ufungue biashara kwenye hii mikoa mfano Dar (pembezon mwa mji) ambapo wenyeji wa Pwani bado wapo, utalia! Nilishashuhudia Mzee mmoja kanasa kwenye genge la mtu, inaonekana yule mwenye genge aliweka zindiko kwenye biashara yke, yule Mzee aliongea yote mpaka mganga wake aliyempa huo upuunzi!
Kwa mkoa wa Tanga nako ndiko usiseme, mfano maeneo ya Handeni huku chumaulete waziwazi. Unakuta kabisa Mzee anakuja dukani mkono mmoja ankuna au kauingiza kwenye makalio😳, hapo ukichukua hela yake ukachanganya na zako imekula kwako! Yaani ni heri umpe bure anachohitaji.
Ni mara chache sana kukutana na hivi vibweka katika mikoa ya Bara. Naona shida kubwa kwenye hii mikoa ya Pwani ni uvivu, hivyo mtu akishaaza kuzeeka tu anaona chumaulete kama pension yake!