me nakataa, huko ni kudhoofisha afya zao mwisho wa siku wakiludi mtaani wanakuwa wenye chuki za kudumu vs gereza, uko ni kukomoa na sio kufundisha..Wako jela kutumikia adhabu sasa ukitaka waishi kama wapo vacation tena unaweza gundua wafungwa hawataki kutoka jela wakitoka leo wanarudi tena the next day. Chakura ni sehemu ya panishment .
kama unaona waafrika wana roho mbaya,nenda kaishi uarabuniHivi jamani ni nini kinafanya mfungwa kupewa chakula kibaya ,kuna uhusiano gani kati ya mtu makosa ya mtu na ulaji wa mtu,chakula jamani,acha wazungu waitwe wazungu
Sasa wewe unalinganisha maisha ya Afrika na ulaya?maisha ya mtaaani tu shida,ugali na bamia,hospitari wanawake wanajifungulia sakafuni,harafu unataka bajeti ya jera iwe kubwa!watu wale wali na kuku! Be serious man! Ukitaka maisha ya jera yawe Bora,boresha ya mtaani kwanza, nchi za Scandinavia,hata mtoto ambaye hajazaliwa,akiba yake ipo tayari!!sisi ambaye hajazaliwa,anadeni tayari.Hivi jamani ni nini kinafanya mfungwa kupewa chakula kibaya, kuna uhusiano gani kati ya mtu makosa ya mtu na ulaji wa mtu, chakula jamani, acha wazungu waitwe wazungu
Ni kwei ,watu wanajitia kufahamu sanaIshi kwa kufuata sheria na kumuomba Mungu ili usije ukaingia kwenye 18 za Nyampala,
Jela sio kuzuri,kama hujawahi kufungwa huwezi kujua thamani ya uhuru ulio nao leo hii.
Asilimia kubwa ya wafungwa wanafanya kazi za kuzalisha kwa hivyo chakula kizuri ni haki yao.Wako jela kutumikia adhabu sasa ukitaka waishi kama wapo vacation tena unaweza gundua wafungwa hawataki kutoka jela wakitoka leo wanarudi tena the next day. Chakura ni sehemu ya panishment .
Magereza yanatofautiana ndugu,kuna magereza utaomba hata kifo,watu wanaliwa tigo,alafu askari hawana time,kuna wababe wanamiliki wanaume wenzao kama wake na ukibisha kichapo kinakuhusu.kila gereza lina adhabu zake.
Itabidi ufungulie uzi story hii kwa marefu na mapana kiongozi wakubwa waone na kitu kifanyike maana si katika misingi na taratibu ya/za haki ya/za Binadamu.Magereza yanatofautiana ndugu,kuna magereza utaomba hata kifo,watu wanaliwa tigo,alafu askari hawana time,kuna wababe wanamiliki wanaume wenzao kama wake na ukibisha kichapo kinakuhusu.kila gereza lina adhabu zake.
mbona wafungwa wanakuwaga na afya!!!!! pengine kuliko hata tuliopo uraiani.Hivi jamani ni nini kinafanya mfungwa kupewa chakula kibaya, kuna uhusiano gani kati ya mtu makosa ya mtu na ulaji wa mtu, chakula jamani, acha wazungu waitwe wazungu