Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 481
wana jf huduma ya vodacom m-pesa huku wilayani Tarime haifanyi kazi toka mida ya mchana hadi muda huu wa usiku,vp maeneo mengine je mmekumbana na hili tatizo.
binafsi tangu Jmosi jioni kuna hela natakiwa nizitoe ili zifanye kazi iliyokusudiwa lakini nimeshindwa na sijui lini m-pesa itarudi kama kawaida, nawaza yasije yakawa kama ya DECI,
naani hii huduma itakuwa imeathiri wengi, tiririka ilivyokuathiri,