Nini kinaendelea ndani ya Club ya Simba?

Nini kinaendelea ndani ya Club ya Simba?

Nimeona hii taarifa kwenye official page ya Club,mwenye kujua kwa undani nini kimefanyika huko Bunju.

View attachment 3641956
Juzi kati wakati gari limekwama, kuna mchambuzi akawa anasema ni Kiki ya kuzindulia jezi, hii ya leo inaweza ikawa kiki ya tamasha la tarehe nane, so mashabiki wasiichukulie serious.

Mangungu apepewe, Mangungu apepewe, Mangungu apepewe.............
 
Juzi kati wakati gari limekwama, kuna mchambuzi akawa anasema ni Kiki ya kuzindulia jezi, hii ya leo inaweza ikawa kiki ya tamasha la tarehe nane, so mashabiki wasiichukulie serious.

Mangungu apepewe, Mangungu apepewe, Mangungu apepewe.............
Hahahaha Manvungu apepewe
 
Tajiri Katika hili anajidhalilisha. Kama kweli ni tajiri anashindwaje kutengeneza timu yake binafsi ambayo itampa heshima na kuongeza heshima yake na kuongeza utajiri wake!
 
Bhaaaaaassiiiiiiiiii........ Ngunguzziiiiii kamaliza kila kitu.
Screenshot_20260803_110041_Instagram.jpg
 
Mangungu safisha timu. Ondoa mamluki wote wa mwekezaji janja janja.
 
Tajiri Katika hili anajidhalilisha. Kama kweli ni tajiri anashindwaje kutengeneza timu yake binafsi ambayo itampa heshima na kuongeza heshima yake na kuongeza utajiri wake!
Unamaanisha Abramovich aliyeinunua Chelsea, Sheikh Mansoor aliyeinunua Man City na PSG nao wanajidhalilisha au ni uwezo wako mdogo wa kutojua mambo ya uwekezaji?
 
Back
Top Bottom