Mazungumzo yamekwisha kwa bila bila
Waziri wa mambo ya nje Malawi apendekeza suala lipelekwe International Court of Justice
Mambe ashauri watoe fursa nyingine ya mazungumzo
Watakutana tena Septemba 10 hadi 14 Dar es Salaam
Katibu mkuu Wizara ya Mambo Ya Nje Malawi asema baraza la mawaziri litakutana kujadili uwezekano wa kusimamisha utafiti huo wa mafuta kama ambavyo Tanzania imependekeza ili kutafuta suluhisho kwanza. Hata hivyo Malawi wanaona kwa kufanya hivyo watakuwa wamekiuka masharti ya mkataba wao na kampuni inayoendesha utafiti
Mazungumzo yamekwisha kwa bila bila
Waziri wa mambo ya nje Malawi apendekeza suala lipelekwe International Court of Justice
Mambe ashauri watoe fursa nyingine ya mazungumzo
Watakutana tena Septemba 10 hadi 14 Dar es Salaam
Katibu mkuu Wizara ya Mambo Ya Nje Malawi asema baraza la mawaziri litakutana kujadili uwezekano wa kusimamisha utafiti huo wa mafuta kama ambavyo Tanzania imependekeza ili kutafuta suluhisho kwanza. Hata hivyo Malawi wanaona kwa kufanya hivyo watakuwa wamekiuka masharti ya mkataba wao na kampuni inayoendesha utafiti
Kama kweli usemayo ni kweli nimesikitika sana..nalia uchungu juu ya ziwa hilo limeshatutoka....na haya ndio matatizo ya kuleta ngonjera kwenye v2 serious...jibu la swala hili lilikuwa moja tuu nalo ni NO...mpaka ni katikati ya ziwa lkn sijui diplomasia sijui nini ni kuonesha ulegelege hata wamalawi ma mataifa makubwa yameona sie ni waoga...byee ziwa nyasa
Kitendo cha Membe kushawishi Malawi kwamba zitumike njia nyingine badala ya kukimbilia IJC napata picha Tanzania hatujatoa hoza convincing. Ndo maana tunaogopa kwenda kwenye vyombo vya sheria
km kweli waandishi wetu wamekamatwa huko kwa kutoa taarifa za Kikao kilipokuwa kikiendelea ni haki kabisa maana baada ya Balozi kutufahamisha tungekaa kimya na sisi lakini tuligoma hata ushauri tuliopeana kuwa si busara kuendelea au kuanika anayotutumia Balozi wetu watu waliendelea humu JF mpaka ikaonekana hata waliotumwa hawafai na hawaujui mpaka ulipopita, Jamani Malawi itatufikisha pabaya hasa sisi waandishi makanjanja humu JF watu wanachukulia data kwa uhakika km vile ugomvi wa TBC na waislamu kuhusu SENSAMazungumzo yamekwisha kwa bila bila
Waziri wa mambo ya nje Malawi apendekeza suala lipelekwe International Court of Justice
Membe ashauri watoe fursa nyingine ya mazungumzo
Watakutana tena Septemba 10 hadi 14 Dar es Salaam
Katibu mkuu Wizara ya Mambo Ya Nje Malawi asema baraza la mawaziri litakutana kujadili uwezekano wa kusimamisha utafiti huo wa mafuta
Mazungumzo yamekwisha kwa bila bila
Waziri wa mambo ya nje Malawi apendekeza suala lipelekwe International Court of Justice
Mambe ashauri watoe fursa nyingine ya mazungumzo
Watakutana tena Septemba 10 hadi 14 Dar es Salaam
Katibu mkuu Wizara ya Mambo Ya Nje Malawi asema baraza la mawaziri litakutana kujadili uwezekano wa kusimamisha utafiti huo wa mafuta kama ambavyo Tanzania imependekeza ili kutafuta suluhisho kwanza. Hata hivyo Malawi wanaona kwa kufanya hivyo watakuwa wamekiuka masharti ya mkataba wao na kampuni inayoendesha utafiti
Unapopeleka kesi mahakamani maana yake uko tayari kukubali hukumu ya mwisho. Sisi hatuko tayari kukubali hukumu ya mwisho iwapo haisemi ziwa pasu kwa pasu. Kwa hiyo swala la mahakama ni kupoteza muda na pesa. Mazungumzo yakishindikana, tuendelee tu kulinda mpaka wetu kama tunavyolinda mipaka mingine.
Kitendo cha Membe kushawishi Malawi kwamba zitumike njia nyingine badala ya kukimbilia IJC napata picha Tanzania hatujatoa hoja convincing. Ndo maana tunaogopa kwenda kwenye vyombo vya sheria
km kweli waandishi wetu wamekamatwa huko kwa kutoa taarifa za Kikao kilipokuwa kikiendelea ni haki kabisa maana baada ya Balozi kutufahamisha tungekaa kimya na sisi lakini tuligoma hata ushauri tuliopeana kuwa si busara kuendelea au kuanika anayotutumia Balozi wetu watu waliendelea humu JF mpaka ikaonekana hata waliotumwa hawafai na hawaujui mpaka ulipopita, Jamani Malawi itatufikisha pabaya hasa sisi waandishi makanjanja humu JF watu wanachukulia data kwa uhakika km vile ugomvi wa TBC na waislamu kuhusu SENSA
It is true...kabisa..yani inaonesha kila dalili ya kushindwa maana kama watu wankuita kwenye mazungumzo unahsindwa kubadilisha kitu hata uite mazungumzo mara ngapi haisadii wakati mweingine ni misimamo ndio inasaidia mfano wenyewe wamalali wanameshaweka msimamo hata ujija kwenye mazungumzo wanakupa msimamo wao ndio maana unaona hakuna mafanikio sasa sie hatuna msimamo tuna amini kwenye kuwashawishi wao wabadili msimamo wao...too late hata huku ICC tunashindwa nakwambia dalili zipo wazi kbs...hatujaonesha ukakamavu wetu ktk hili adui wameshatujua tunaogopa kwisha kazi ngoja tuone.
Mkuu Ukwaju walokamatwa walikuwa ni waandishi wawili wa Malawi
Mnadhani hata huko mkutanoni ni kasi cha kwenda na kumba wimbo usemao MIMI NI MZALENDO, MIMI NI MZALENDO, MIMI NI MZALENDO.
Shusha data wausikilize na si kupiga domo kama wakurupukaji wa humu eti MIMI NI MZALENDO, wakati hujasoma hata page moja ya history ya mpaka huu.
Ziko wapi porojo za Balozi kwamba presentation yao ilikuwa kama Phd thesis na yao ilikuwa pass grade. Kuumbuka tupu.
BInafsi niliuosma vilivyo mgogoro wa mpaka huu. NImesoma post na kuandika nyingi sana humu. Yote ni kutaka walau kujua kama kuna post itakayonishawishi tupate ziwa hili.
Kwa ujumla asilimia zangu za kutopata hata tone moja la ziwa zilikuwa ni zaidi ya 96 na zilizidi kupanda kila nikisoma post za watu wa humu.
Kwa ujumla Balozi alishusha kabisa matumaini yangu kupata ziwa hili.
Fundisho.
km kweli waandishi wetu wamekamatwa huko kwa kutoa taarifa za Kikao kilipokuwa kikiendelea ni haki kabisa maana baada ya Balozi kutufahamisha tungekaa kimya na sisi lakini tuligoma hata ushauri tuliopeana kuwa si busara kuendelea au kuanika anayotutumia Balozi wetu watu waliendelea humu JF mpaka ikaonekana hata waliotumwa hawafai na hawaujui mpaka ulipopita, Jamani Malawi itatufikisha pabaya hasa sisi waandishi makanjanja humu JF watu wanachukulia data kwa uhakika km vile ugomvi wa TBC na waislamu kuhusu SENSA
Ni vita tu ndo itatoa solution..hakuna cha mahakama wala vikao vya nini sijuhi
Mimi matumaini yangu ndo ICJ. Kule lazima pasu kwa pasu
Ndiyo matokeo ya ushabiki wa kijinga kushabikia kama simba na Yanga. Nilikuwa mtu wa kwanza kabisa humu kupinga alichoeleza Balozi yule kwa utoto wake wa kidiplomasia alipoishia kusema presentation ya Tanzania ilikuwa ni sawa na PhD, halafu anaishia kutaja wamepresent ramani!
uduni mwingine wa balozi huyo ni kuadhani internet ni private place kama unavyoongea na mke wako nyumbani. Hivi wewe unaponda nchi ya watu na wewe uko humo tena unaiponda kwenye facebook halafu unaishia kujiamini kwamba wamalawi hawatajua eti kwa sababu umeandika kiswahili.
Ni ushamba wa kiwango cha kutisha!!
Ni lazima yawe magumu!... Tulikuwa tunamiliki sehemu ya ziwa hilo hata kabla ya makubaliano ya mwaka 1890 kati ya mjerumani na mwingereza. Kando ya ziwa kulikuwa na wanyasa upande wa malawi na wamanda, wanyakyusa, wakisi, n.k. kando ya ziwa. Makubaliano ya wageni yananyang'ana haki za wenyeji!!!!!!............. NINAWATAKIA KILA LA KHERI WATANZANIA WANAOSHIRIKI VIKAO HIVI WATETEE HAKI YA WATANZANIA!.. ...Inaelekea matokeo siyo mazuri, maana siku ya kwanza mbwembwe zilikuwa nyingi. Baada ya hapo media za Tanzania na Malawi ziko kimya, walioenda kujadili nao wako kimya! Hata balozi wetu aliyenza kwa majigambo sasa yuko kimya!!!