Nini kimetokea soko la hisa Dar leo? hisa karibia zote zashuka hadi kufikia thamani ya 0

Ah ah ah, aimutiku ilika ogodik ut aweleanu inin akidnaemut.

Aweleataw ut, ajogn eeledneut anaam anukah isnij ay ahcauk.
Hahahhahahahhahaha idizanut azimuawuk ilika asah ozitat ikatawah azimuuk awhcik adnepanaw okmeretik anas
 
lahaja ya wapi?

Pole wanakufanyia utoto tuu hizo lugha tulichezanazo sana wakati tuko primary.

Mojawapo ya lugha tulizokuwa tunaziongea wakati tuko watoto ni kama hii, unaongeza silabi kwenye kila neno mfano kwenye hii tuliongeza neno BA ,BE,BI, BO, BU kwenye kila neno, sasa tukiwa tunaiongea harakaharaka huwezi kuelewa hata kidogo.
Mfano...NIBIMEBE NUBUNUBUABA SABABUBUNIBI.....
TWEBENDEBE SHUBULEBE......

Sasas hawa wanafanya kinyume chake yaani wanachukua neno mfano SHULE halafu wanaliandika kinyume kama waarabu wanavyoandika hivyo SHULE ataandika ELUHS yaani herufi ya mwisho ndo inakuwa ya kwanza kuandikwa. Yataka muda na wasaa kufanya hayo.
 
Pole wanakufanyia utoto tuu hizo lugha tulichezanazo sana wakati tuko primary.

Mojawapo ya lugha tulizokuwa tunaziongea wakati tuko watoto ni kama hii, unaongeza silabi kwenye kila neno mfano kwenye hii tuliongeza neno BA ,BE,BI, BO, BU kwenye kila neno, sasa tukiwa tunaiongea harakaharaka huwezi kuelewa hata kidogo.
Mfano...NIBIMEBE NUBUNUBUABA SABABUBUNIBI.....
TWEBENDEBE SHUBULEBE......

Sasas hawa wanafanya kinyume chake yaani wanachukua neno mfano SHULE halafu wanaliandika kinyume kama waarabu wanavyoandika hivyo SHULE ataandika ELUHS yaani herufi ya mwisho ndo inakuwa ya kwanza kuandikwa. Yataka muda na wasaa kufanya hayo.

Ha ha ha, wewe!
 
Pole wanakufanyia utoto tuu hizo lugha tulichezanazo sana wakati tuko primary.

Mojawapo ya lugha tulizokuwa tunaziongea wakati tuko watoto ni kama hii, unaongeza silabi kwenye kila neno mfano kwenye hii tuliongeza neno BA ,BE,BI, BO, BU kwenye kila neno, sasa tukiwa tunaiongea harakaharaka huwezi kuelewa hata kidogo.
Mfano...NIBIMEBE NUBUNUBUABA SABABUBUNIBI.....
TWEBENDEBE SHUBULEBE......

Sasas hawa wanafanya kinyume chake yaani wanachukua neno mfano SHULE halafu wanaliandika kinyume kama waarabu wanavyoandika hivyo SHULE ataandika ELUHS yaani herufi ya mwisho ndo inakuwa ya kwanza kuandikwa. Yataka muda na wasaa kufanya hayo.
aisee kumbe..
 
Back
Top Bottom