H
Hata trekta inatumika pia nimeona sehemu kadhaa, au niwapatie ile trekta yangu nini, 5m per month. Lakini inaonekana wana akili ndogo sana watanisumbua.Hicho Kigari cha kuvutia ndege hakiwezi kuwachanganya wapiga kura. Ila kwakuwa hili tatizo limetokea hicho Kigari kutanunuliwa na viongozi wa dini na wapiga kura wataitwa kwenda kukiombea. Hiyo hafla hawatakosa CDF, IGP & the likes