Nini kimetokea kati ya Lowassa na Sumaye

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,299
6,591
Nakumbuka magwiji hawa wa siasa wakiwa chama pendwa kipindi kileee walikuwa hawapatani kabisa. Sumaye alidiriki kusema chama kikimpitisha Lowassa atarudisha kadi yake. Je ni kwanini Lowassa alipohama Chama pendwa Sumaye alimfuata? Tena walisafiri kwa helicopter moja bampa to bampa kuusaka urais 2015 kote nchini. Mwenye majibu anipe maana nashangaa sana siasa hizi na hadi Leo sijui nini kimetokea. Rejea rafu za Lowassa huko Hanang kwa Sumaye dhidi ya Marry Nagu kwenye uchaguzi wa NEC- Chama pendwa kipindi kileeeeee!!
 
Nakumbuka magwiji hawa wa siasa wakiwa chama pendwa kipindi kileee walikuwa hawapatani kabisa. Sumaye alidiriki kusema chama kikimpitisha Lowassa atarudisha kadi yake. Je ni kwanini Lowassa alipohama Chama pendwa Sumaye alimfuata? Tena walisafiri kwa helicopter moja bampa to bampa kuusaka urais 2015 Monte nchini. Mwenye majibu anipe maana nashangaa sana siasa hizi na hadi Leo sijui nini kimetokea. Rejea rafu za Lowassa huko Hanang kwa Sumaye dhidi ya Marry Nagu kwenye uchaguzi wa NEC- Chama pendwa kipindi kileeeeee!!
Rubbish, kawaulize wao!
 
nape%2Bna%2Blowassa.jpeg

Usishangae 2020 kama Lowassa atagombea mtu anajitokeza hadharani na kutoa matamshi ya kumuunga mkono!!!
 
Mpaka sasa mimi huwa siamini kama Sumaye alihamia chadema ki kwelikweli nina imani alitumwa kwa special mission, naina amini huyu alikuja kuchunguza mikakati ya chadema na siri kuzipeleka ccm, hata ziara ya juzi alipo andamana na meya Jacob Sumaye wala hakuguswa ila Jacob aliishia mahabusu, hata lile shamba kunyang'anywa nina amnini ni zuga tu..Haya ni mawazo yangu wakuu.
 
Nakumbuka magwiji hawa wa siasa wakiwa chama pendwa kipindi kileee walikuwa hawapatani kabisa. Sumaye alidiriki kusema chama kikimpitisha Lowassa atarudisha kadi yake. Je ni kwanini Lowassa alipohama Chama pendwa Sumaye alimfuata? Tena walisafiri kwa helicopter moja bampa to bampa kuusaka urais 2015 kote nchini. Mwenye majibu anipe maana nashangaa sana siasa hizi na hadi Leo sijui nini kimetokea. Rejea rafu za Lowassa huko Hanang kwa Sumaye dhidi ya Marry Nagu kwenye uchaguzi wa NEC- Chama pendwa kipindi kileeeeee!!
Kesi ya 2015
Unakuja kukumbushia leo?
Kweli weed uleta kumbukumbu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa mimi huwa siamini kama Sumaye alihamia chadema ki kwelikweli nina imani alitumwa kwa special mission, naina amini huyu alikuja kuchunguza mikakati ya chadema na siri kuzipeleka ccm, hata ziara ya juzi alipo andamana na meya Jacob Sumaye wala hakuguswa ila Jacob aliishia mahabusu, hata lile shamba kunyang'anywa nina amnini ni zuga tu..Haya ni mawazo yangu wakuu.

Mh. Sumaye mpaka kesho hapatani na Mh. Lowassa kutoka moyoni. Hata Sumaye alipokwenda Chadema halikuwa jambo lililomfurahisha Lowassa. Na lilifanywa siri kwa Lowassa mpaka alipotangaza kuungana na UKAWA. Mtakumbuka kuwa Sumaye mwanzoni alitangaza kuwa kajiunga UKAWA ila ni chama kipi atafafanua baadaye. Ukweli ni kuwa Sumaye alikwenda Chadema kama BACK-UP. Chadema waliamini kuwa Mh Lowassa angechoka njiani na kwamba mtu ambaye angeendeleza mapambano ya uongozi angekuwa Sumaye. Kwa bahati nzuri Lowassa hakuchoka kama dalili zilivyoonyesha a kwa bahati mbaya zaidi kwa Sumaye ni kuwa Lowassa anazidi kuimarika kiafya zaidi sana kuliko wakati akiwa kwenye harakati za urais 2015. Mpaka kesho Sumaye na Lowassa hawaivi.
 
Mpaka sasa mimi huwa siamini kama Sumaye alihamia chadema ki kwelikweli nina imani alitumwa kwa special mission, naina amini huyu alikuja kuchunguza mikakati ya chadema na siri kuzipeleka ccm, hata ziara ya juzi alipo andamana na meya Jacob Sumaye wala hakuguswa ila Jacob aliishia mahabusu, hata lile shamba kunyang'anywa nina amnini ni zuga tu..Haya ni mawazo yangu wakuu.
Siwaamini wote wawili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom