Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,269
Unamaanisha mchezo hauhitaji hasira!Retired acha hasira
Unamaanisha mchezo hauhitaji hasira!Retired acha hasira
Wameshapatana
Sent from my Dell Laptop using Jamii Jorums mobile app
Uko vizuriMh. Sumaye mpaka kesho hapatani na Mh. Lowassa kutoka moyoni. Hata Sumaye alipokwenda Chadema halikuwa jambo lililomfurahisha Lowassa. Na lilifanywa siri kwa Lowassa mpaka alipotangaza kuungana na UKAWA. Mtakumbuka kuwa Sumaye mwanzoni alitangaza kuwa kajiunga UKAWA ila ni chama kipi atafafanua baadaye. Ukweli ni kuwa Sumaye alikwenda Chadema kama BACK-UP. Chadema waliamini kuwa Mh Lowassa angechoka njiani na kwamba mtu ambaye angeendeleza mapambano ya uongozi angekuwa Sumaye. Kwa bahati nzuri Lowassa hakuchoka kama dalili zilivyoonyesha a kwa bahati mbaya zaidi kwa Sumaye ni kuwa Lowassa anazidi kuimarika kiafya zaidi sana kuliko wakati akiwa kwenye harakati za urais 2015. Mpaka kesho Sumaye na Lowassa hawaivi.
Nakumbuka magwiji hawa wa siasa wakiwa chama pendwa kipindi kileee walikuwa hawapatani kabisa. Sumaye alidiriki kusema chama kikimpitisha Lowassa atarudisha kadi yake. Je ni kwanini Lowassa alipohama Chama pendwa Sumaye alimfuata? Tena walisafiri kwa helicopter moja bampa to bampa kuusaka urais 2015 kote nchini. Mwenye majibu anipe maana nashangaa sana siasa hizi na hadi Leo sijui nini kimetokea. Rejea rafu za Lowassa huko Hanang kwa Sumaye dhidi ya Marry Nagu kwenye uchaguzi wa NEC- Chama pendwa kipindi kileeeeee!!
Imefanyaje mkuuavatar yako bana
iko no. 3 sasa umeiona?
In politics, there is no permanent enemy mkuuNakumbuka magwiji hawa wa siasa wakiwa chama pendwa kipindi kileee walikuwa hawapatani kabisa. Sumaye alidiriki kusema chama kikimpitisha Lowassa atarudisha kadi yake. Je ni kwanini Lowassa alipohama Chama pendwa Sumaye alimfuata? Tena walisafiri kwa helicopter moja bampa to bampa kuusaka urais 2015 kote nchini. Mwenye majibu anipe maana nashangaa sana siasa hizi na hadi Leo sijui nini kimetokea. Rejea rafu za Lowassa huko Hanang kwa Sumaye dhidi ya Marry Nagu kwenye uchaguzi wa NEC- Chama pendwa kipindi kileeeeee!!
Wote wawili wako CDM kwa kazi maalumu na viongozi wa CDM wanalijua hilo.Mpaka sasa mimi huwa siamini kama Sumaye alihamia chadema ki kwelikweli nina imani alitumwa kwa special mission, naina amini huyu alikuja kuchunguza mikakati ya chadema na siri kuzipeleka ccm, hata ziara ya juzi alipo andamana na meya Jacob Sumaye wala hakuguswa ila Jacob aliishia mahabusu, hata lile shamba kunyang'anywa nina amnini ni zuga tu..Haya ni mawazo yangu wakuu.
Nshaacha kunyonya zamaaaaniWewe bado ni mtoto, nyonya kwanZA