Nasikia huko kuna fulsa hatari halafu watanzania wanaheshimika sana huko, sijui tunafikajeFursa hiyo na kwa roho safi tu
Ila labda tuwapelekee na chakula kwani wanahitaji sana
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Ebwanaee nimeangalia clip naona hili deal litanifaa sana vipi tunafikaje huko me napenda sana adventure nafikili naweza kupata hii chance huko Juba
Kuna fursa zote huko ila wao ndio wana matatizo yaani kidogo kinawakaNasikia huko kuna fulsa hatari halafu watanzania wanaheshimika sana huko, sijui tunafikaje
Kenya na South Sudan ni kati ya mataifa mawili yanayo share muingiliano mkubwa wa watu na mipaka baina yao kwa upande wa kaskazini mwa Kenya, nafikiri pia kuna Jamii moja inayopatikana pande zote mbili kama kwa maasai upande wa Tanzania na Kenya
View attachment 1034127
Baada ya kupata kujitenga na Sudan na kua Taifa lingine, South Sudan ilikua beneti sana na Kenya kwa kila jambo pia Kenya imeshiriki pakubwa kuisaidia South Sudan kujitegemea na mpaka viongozi wa South Sudan walikua wakiishi Kenya Nairobi kwa kipindi kirefu wao pamoja na jamaa zao wakati na baada ya kutengana na Sudan pia kuna idadi kubwa tu ya wakimbizi wa South Sudan wanaoishi Kenya
Wananchi wa South Sudan wanamiliki vitega uchumi vingi tu nchini Kenya lakini siku za hivi karibuni nchi hizi mbili zimeonekana kupunguza ushirika wao kwa kasi ya kutosha au labda tuseme Kenya ina migogoro na kila jirani, Uganda hawako sawa sababu ya Migingo na uhusiano umekua mbaya kiasi la kuwanyima bomba la mafuta na reli ya SGR , Somalia ndio kama mjuavyo wanachukua bahari almost robo ya Kenya na mgogoro umefikia hatua ya kufukuza mabalozi, kule Ethiopia wamekiuka mkataba waliowekeana kwa Ethiopia kukataa kutumia bandari ya Mombasa na bandari waliyoandaliwa ya Lamu kwa Ethiopia kukimbilia Eritrea na Djibouti wazi wazi.
View attachment 1034128
Nini kimeipata Kenya na majirani zake, ni kwanini kila jirani hawapo kwenye good terms na Kenya na wote wanaonekana kutaka isolation na Kenya na sio Kenya isolated them, nimetafakari kwa kina nikagundua Kenya ina matatizo makubwa sana ambayo yanaigharimu pakubwa kiuchumi na kisiasa vibaya mno.
Ni jana nashangaa kuona ujumbe mzito kutoka South Sudan ukikimbilia Tanzania na kuiruka Kenya pua na mdomo kwa kuja kutaka msaada wa Tanzania kwa masuala ambayo Kenya wanayaweza vizuri mno
Ujumbe huu mawaziri wa South Sudan umetenga millions of dollars kwaajili ya wataalam wa Tanzania kwenye masuala ya elimu, kilimo, diplomacy, mazingira, utamaduni na amani, wameahidi donge nono na maslahi mapana kwa wabobezi wa kitanzania kwenye hizo kada waende South Sudan mwezi ujao kuhudumu kwenye sector nyeti hizo kwa mamia.
Baada ya kuliona hili ndipo nilipo rejea diplomacy situation kati ya Kenya na majirani zake, nini tatizo?
Video inasema wanataka kuchapisha vitabu vyao kuanzia vya nursery mpaka secondary nchini TanzaniaHahaha!Ushirikiano kati ya Kenya na S.Sudan bado upo imara kabisa. Tz hamna huo ubavu wa kutishia uwekezaji wa wakenya kule S.Sudan. Mabenki, biashara, mashule na makanisa ya kikenya ni mengi sana huko, S.Sudan wanafunzwa na walimu wakenya mashuleni, wanatumia syllabus na vitabu vya Kenya hadi na mitihani wanafanya ya Kenya. Ila fursa zipo kwa wingi.
Unafaa ukafundishe kiswahili huko South Sudannafikili = nafikiri
Ila naona fursa ya kuuza chakula inafaa sana huko, kuna uzi humu watanzania wanaosafirisha mazao kwenda ss wanasema ukienda na fuso la mahindi unarufi na faida ya kununua fuso lingine jipya gari kabisa ila biashara ni pata potea unaeza usirudi na hata ndalaKuna fursa zote huko ila wao ndio wana matatizo yaani kidogo kinawaka
Na hawana elimu kabisa
Waliotoka nje miaka ya nyuma kama wakimbizi ndio watoto wao wanarudi baada ya kupata elimu lakini bado wanabaguliwa pia wakirudi kwao
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Hahahahaha du nimecheka sana kwa kweliIla naona fursa ya kuuza chakula inafaa sana huko, kuna uzi humu watanzania wanaosafirisha mazao kwenda ss wanasema ukienda na fuso la mahindi unarufi na faida ya kununua fuso lingine jipya gari kabisa ila biashara ni pata potea unaeza usirudi na hata ndala
Ni kweli lakini gharama ya kumgharamia mfanyakazi kutoka Tanzania mpa South Sudan ni kubwa kuliko mkenya ambae ni jirani yakeKatika dunia hii huwezi kuwa na ushikirikiano na nchi moja tu, jiulize mbona Tanzania inabalozi nchi nyingi tu za Ulaya, Amerika na Asia wakati mfano sera ya UK na USA kwa Tanzania zinafanana,
S.Sudan anajua lazima awe na ushirikika mzuri na nchi nyingi na siyo Kenya tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda mpaka wizara itangaze ndio utaweza kuapply ni sehemu gani utafaa kuhudumia kwa mujibu wa vigezo vyao, ila inaonekana lazima maslahi ni mazuri sana na huenda ukapata treatment za kidiplomasia kwa mujibu wa mkataba wa Vienna.Ebwanaee nimeangalia clip naona hili deal litanifaa sana vipi tunafikaje huko me napenda sana adventure nafikili naweza kupata hii chance huko Juba
Kivipi mkuuLabda mpaka wizara itangaze ndio utaweza kuapply ni sehemu gani utafaa kuhudumia kwa mujibu wa vigezo vyao, ila inaonekana lazima maslahi ni mazuri sana na huenda ukapata treatment za kidiplomasia kwa mujibu wa mkataba wa Vienna.