ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,070
- 49,752
Habari ndugu Wana jukwaa..
Kimbunga Cha pangua pangua ya mh.Rais Dk Samia kimesomba uongozi wote wa Juu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuanzia aliyekuwa Waziri wa Wizara na Makatibu Wakuu wake wote.
Amepona aliyekuwa Naibu Waziri ambae ameteuliwa kuwa Waziri.
Swali,kulikuwa na nini hasa kilichopelekea Kuondolewa Kwa Uongozi mzima wa Juu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
Walioondolewa Hawa hapa👇
Walioteuliwa Hawa hapa 👇
Kimbunga Cha pangua pangua ya mh.Rais Dk Samia kimesomba uongozi wote wa Juu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuanzia aliyekuwa Waziri wa Wizara na Makatibu Wakuu wake wote.
Amepona aliyekuwa Naibu Waziri ambae ameteuliwa kuwa Waziri.
Swali,kulikuwa na nini hasa kilichopelekea Kuondolewa Kwa Uongozi mzima wa Juu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
Walioondolewa Hawa hapa👇
Walioteuliwa Hawa hapa 👇