Mimi siyo mkatoliki lakini huyo askofu namsikilizaga sana... ni mzungumzaji mzuri, hachoshi ukimsikiliza. Mwingine ni yule wa dodoma sijui anaitwa nani ila hao jamaa ni wazuri sana kwenye kuzungumza.
Yule wa Dodoma anaitwa Beatus Kinyaiya, OFM Cap. yaani wote wanatokea shirika la Wakapuchini. Kama wewe si mkatoliki na umeona hivyo basi maana yake Shirika wa Wakapuchini ni ma genious.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.