Heshima kwa wana JF wote,
Jana jioni katika kupekua nikaona website ya Jimbo Kuu la D'Salaam ikionyesha maaskofu wawili yaani Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ambaye ni Askofu Mkuu Mwandamizi na Eusebius Nzigilwa, Askofu Msaidizi.
Tena thread yenyewe inaonyesha Ruwa'Ichi ameshakuwa Askofu Mkuu wa D'Salaam na Kardinali Pengo hayumo kabisa kwenye website hiyo.
Nilipotatizwa na kukosekana kwa Kardinali Pengo nikauliza mtaani nikakosa majibu nikaja humu JF nikaanzisha thread, hii hapa,
(Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam? - JamiiForums).
Nimefuatilia thread yangu na hatimaye dakika 20 zilizopita nimeona ile website wameondoa picha za Askofu Jude Thadaeus za Eusebius Nzigilwa na kwenye sehemu ya maaskofu Kardinali Pengo sasa amewekwa rasmi na wenzake hao wawili.
Hii maana yake Jimbo Kuu la D'Salaam limerekebisha kosa lake.
Nani kasababisha wajirekebishe? Ni sisi wote humu Jamii Forum tuliofukunyua suala hili na wote tuliochangia kuhoji na hatimaye tumepata ukweli.
Nani alikuwa anaptosha. Waliopotosha ni wote waliojitahidi kutunga sababu za uongo wakijifanya wanaujua ukatoliki na kuutetea kumbe ni upotoshaji uchwara.
Viva JF, Viva wachangiaji wa ukweli.
Jana jioni katika kupekua nikaona website ya Jimbo Kuu la D'Salaam ikionyesha maaskofu wawili yaani Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ambaye ni Askofu Mkuu Mwandamizi na Eusebius Nzigilwa, Askofu Msaidizi.
Tena thread yenyewe inaonyesha Ruwa'Ichi ameshakuwa Askofu Mkuu wa D'Salaam na Kardinali Pengo hayumo kabisa kwenye website hiyo.
Nilipotatizwa na kukosekana kwa Kardinali Pengo nikauliza mtaani nikakosa majibu nikaja humu JF nikaanzisha thread, hii hapa,
(Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam? - JamiiForums).
Nimefuatilia thread yangu na hatimaye dakika 20 zilizopita nimeona ile website wameondoa picha za Askofu Jude Thadaeus za Eusebius Nzigilwa na kwenye sehemu ya maaskofu Kardinali Pengo sasa amewekwa rasmi na wenzake hao wawili.
Hii maana yake Jimbo Kuu la D'Salaam limerekebisha kosa lake.
Nani kasababisha wajirekebishe? Ni sisi wote humu Jamii Forum tuliofukunyua suala hili na wote tuliochangia kuhoji na hatimaye tumepata ukweli.
Nani alikuwa anaptosha. Waliopotosha ni wote waliojitahidi kutunga sababu za uongo wakijifanya wanaujua ukatoliki na kuutetea kumbe ni upotoshaji uchwara.
Viva JF, Viva wachangiaji wa ukweli.