Domaradzka
Senior Member
- Apr 19, 2016
- 135
- 168
Wa dodoma ni ASKOFU MKUU Beatus kinyaiya OFMcapMimi siyo mkatoliki lakini huyo askofu namsikilizaga sana... ni mzungumzaji mzuri, hachoshi ukimsikiliza. Mwingine ni yule wa dodoma sijui anaitwa nani ila hao jamaa ni wazuri sana kwenye kuzungumza.