Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

Mbona kwenye list yupo nyie kuondolewa mnaangalia nini!?? Picha? Cc MdogoWenu
Screenshot_20190326-132008.png
 
An
Kama ni hivyo basi picha ingeondolewa anapofikisha miaka 75 na tungetangaziwa.
Dogo ingia kwenye list ya current bishops ndio uprove kama ameondolewa au lah? Mamlaka hayupo uwepo wa picha kwenye website kuna kipindi kwenye picha waliwekwa askofu nzigilwa na libena.. Hata kabla huyo ruwaichi hajaja, tusiwe na hisia hasi na kuleta vijimaneno tujiridhishe kabla ya taarifa.
 
Itachukua Miongo kadhaa Wafipa kupata Tena Madaraka makubwa Baada ya Mizengo Pinda Na Kardinal Pengo
Pengo alikuwa Na Hikma Sana

Unajuaje hayo yote? Mwenyezi Mungu huwa anatupa suprise...kama surprise ya mambo ya awamu ya tano.
All in all, muda utasema yote.
 
An

Dogo ingia kwenye list ya current bishops ndio uprove kama ameondolewa au lah? Mamlaka hayupo uwepo wa picha kwenye website kuna kipindi kwenye picha waliwekwa askofu nzigilwa na libena.. Hata kabla huyo ruwaichi hajaja, tusiwe na hisia hasi na kuleta vijimaneno tujiridhishe kabla ya taarifa.
Kadinali hastaafu kwa umri. Hutumbuliwa.
 
An

Dogo ingia kwenye list ya current bishops ndio uprove kama ameondolewa au lah? Mamlaka hayupo uwepo wa picha kwenye website kuna kipindi kwenye picha waliwekwa askofu nzigilwa na libena.. Hata kabla huyo ruwaichi hajaja, tusiwe na hisia hasi na kuleta vijimaneno tujiridhishe kabla ya taarifa.
Nadhani umeingia website ya jimbo sasa hivi ndiyo maana umekurupuka na hii comment. Mleta mada hakukurupuka Pengo alikuwa si tu ameondolewa bali pia hakuwa askofu wa dar es salaam. Unasemaje sasa baada ya hizi screenshots.
Screenshot_20190323-215026.png
Screenshot_20190323-215218.png
 
Back
Top Bottom